Wana JF
Kwa muda mrefu tumekuwa na maadui watatu yaani Ujinga, maradhi na umasikini na tumekuwa tukipambanao mimi kwa mtazamo wangu ni kuwa ameongezeka adui mwingine ambaye CCM nasema hivyo kwa sababu CCM haijui kwanini Tanzania ni masikini na kama hujui tatizo hilo la umaskini si rahisi kuwa...
Nashukuru nimesoma nakala ya hukumu ya mahakama ya kimataifa kuhusu suala la DOWANS vs TANESCO.
Hadi sasa nipo katika kipengere cha 337 lakini nimeshangazwa namna nchi yetu ilivyoharibika halafu kwa ujasiri wa ajabu Rais Kikwete anasema hawajui wamiliki wa Dowans.
Kuna mambo wakati mwingine...
Wana JF nimeshangazwa sana na kauli za Januari Makamba wakati akichangia Hotuba ya Rais. Jamaa baada ya kubebwa na kupewa ubunge na mafisadi anajiona kuwa uwezo wake ni mkubwa wa uelewa wa mambo kiasi cha kuwashangaa wengine eti wamefikaje humu bungeni.
Nilivyo muelewa mimi ni kuwa kwa kuwa...
Ni Rais mwenye upendo kwa Watanzania kwa kuwa anajua jinsi CCM ilivyooza bila kuondoka madarakani nchi haiwezi kupata maendeleo na katumia akili sana kukiuwa chama cha CCM bila watu kujua strategy zake kama ifuatayo;
kuwakumbatia mafisadi ili kuamsha hasira ya Watanzania ili kuichukia CCM moja...
1.Kukosa viongozi wenye kuweza kutengeneza dira (Focus) bila kuwa na maono huwezi kupanga mikakati ya kwenda kwa sababu hujui unakwenda wapi.
2.Kutokuwa na vipaumbele(stategic areas to stimulate development) kunakopelekea kila kitu kuwa ni kipaumbele huwezi kufanya kila kitu kwa wakati mmoja...
CCM ni chama kilichopoteza mwelekeo na mvuto kwa sababu ya kukumbatia ufisadi. Natoa angalizo mambo yanavyoendelea ndani ya CCM inaashiria kinaelekea ukingoni. Ubinafsi, jeuri na uzandiki ndio inachokigharimu CCM siku hiza. CCM isipoangalia inajichimbia kaburi.Imeandikwa mshahara wa dhambi ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.