Topten form two kulikuwa na Shule inaitwa TWIBHOKI mkoani Mara..lakini hapa form four sijaiona topten samahani naomba mnisaidie kaangalia matokeo yake..
Mwaka 2011 waligoma pia,shule akabidi ifungwe kwa muda lakini bahati mbaya wakati wasafari ya kuelekea makwao kunaajali ilitokea ambapo wanafunzi kadhaa walifariki akiwemo mwalimu mkuu wa SONGWA secondary.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.