Wanaintelligensia, leo nakuja kifalsafa, hebu tuchemshe akili katika kuambiana maana na matumizi ya maneno hayo hapo juu, ukweli ni upi na uhalisia ni upi.
Asanteni.
Chanzo ni star tv habari tarehe 6/10/2013
Mmoja kati ya viongozi hao akiongea na star tv habari ambaye ni mwenyekiti wa CHADEMA wa jimbo la Singida mashariki na wenzake wawili, walidai wamesimamishwa na uongozi wa chama chao kwa mda usiojulikana kisa kushirikiana na uongozi wa wilaya pamoja na...
nimeleta hii mada, c kwasababu ya kuwakosoa wenye mtandao husika, lengo ni kuelimishana, kama watu wanakosa kazi kwa uzembe wa kuandaa barua zao, au cv zao, wanazi2ma bila kuproofread, sasa huyu aliyepost tangazo hili nae bosi wake atamfanya nini, je, watu wangapi wanakosa kazi kwa uzembe kama...
habari zenu wapwazi, cjakanyaga jukwaa hili kwa takribani mwaka na miezi kadhaa japo kila cku natembelea jamii forums kuliko akaunti yangu ya facebook na twetter, nimekuja na jambo moja jamani nawatafuta watu muhimu sana ktk JF, ambao ni miongoni mwa magreat thinkers, sizioni mada wala comments...
WZZUB- The Power of "We"
log in at http://signup.wazzub.info/?lrRef=b688c446
halafu tushirikishe ulichogundua tafadhali, fuatilia ucwe mvivu,uckate tamaa, it may work for you perhaps, best of lucky guys.
atafutae hachoki akichoka keshapata
Jamani kwanza kabisa sipondi uwepo wa kazi hizi za kwenye mitandao,niliwahi kuifuatilia documentary moja hivi kupitia Aljaazeer,watu kweli wanapiga hela, lakini asilimia 98 wanapigwa hela, yaani ni fake na scams ndio zimejaa, baada ta bwana marke kuzileta humu kwa mbwembwe imebidi niwashirikishe...
Kuna kiwanda cha kutengeneza Chupa kinaitwa Kioo Limited, Kipo jijini Dar es Salaam, hiki ni kiwanda kikubwa tu hapa nchini, kinatengeneza chupa, na kinauza ndani ya nchi na Afrika Mashariki na Kati kwa ujumla, kiwanda hiki kinamilikiwa na wahindi, kama ilivyo desturi ya viwanda vyingi nchini...
Natumai wote mu wazima wa afya njema.
Wakati tunapoelekea mwishoni mwa mwaka 2010, nimeona nitoe pongezi zangu za dhati kwa wanajamii forum wote(mods &members), hakuna ubishi kuwa JF imetufungua macho, kuhusu mambo mengi sana ktk maisha yetu ya kila siku, achalia mbali maswala ya siasa, uchumi...
Niliposikia kwa mara ya kwanza kuwa watu wanaongoza kwa upole ustarabu, na mipango mizuri ya maisha katika jamii ni wale wanaosikiliza miziki aina ya R&B au SLOWJAMs ama miondoko ya taratib, nilitahamaki kidogo ,hii ni habari iliyotangazwa na Charls Hilary enzi zake Radio One Sterio akijulkana...
For all the friends that you may know who'd
love to know how much you really care.
What better way to say it?
For all the times I needed you
And you were there for me
For all the times you showed
You cared so unconditionally
*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*~*
For all the times a...
Habarini za mchana waungwana wa JF, leo nimelileta hili mezani ili tujadili maana watu wanakaangika katika jamii yetu. Hivi jamani inapotokea wazazi wako wamekulazimisha kuoa au kuolewa na mtu ambaye humpendi, na huyo muoaji au muolewaji pamoja na wazazi wanajua kabisa hilo jambo hulitaki ...
Niliurudia mara mbilimbili pindi ulipokuwa unaisha mwimbo huu wa bibie celine dion, maana maudhui yake yanagusa maisha yetu ya kila siku hasa ya mapenzi,
Mara nyingi imetokea kwa baadhi ya watu tena ni wengi tu tukiwa katika mahusiano tunakuwa na vipaumbele vyetu, utakuta kama ni mwanamke...
Kwa mtiririko wa mambo yanavyoenda na matukio hasa ya uchaguzi mkuu, mh. Dr Slaa baada ya kuibua hoja ya kuhusika kwa TISS ktk hujma za uchaguzi , japo TISS wamemruka ni dhahiri watanzania wamebaki njia panda hasa katika kutaka kujua nani ni mkwali ukizingatia unyeti wa TISS ktk TZ,Tukifuatilia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.