Viongozi wa CHADEMA jimbo la Singida Mashariki wasimamishwa kwa kushiriki shughuli za maendeleo

Ferds

JF-Expert Member
Oct 27, 2010
1,263
191
Chanzo ni star tv habari tarehe 6/10/2013

Mmoja kati ya viongozi hao akiongea na star tv habari ambaye ni mwenyekiti wa CHADEMA wa jimbo la Singida mashariki na wenzake wawili, walidai wamesimamishwa na uongozi wa chama chao kwa mda usiojulikana kisa kushirikiana na uongozi wa wilaya pamoja na kampuni ya Shanti mining katika kuhimiza wananchi katika kuchangia shughuli za maendeleo, ikiwemo ujenzi wa vyoo katika shule za msingi, ujenzi wa kituo cha polisi , na ujenzi wa vyumba vya madarasa vyote vikigharamiwa na kampuni hiyo ya shanti mining company.

Je hii ni aina gani ya siasa wanajamvi?.

Hawa viongozi kwa kauli zao wameonyesha masikitiko yao juu ya maamuzi hayo ya chama chao.
 
Hao ni mamluki tu.Kilichowapeleka Star TV kukashifu chama ndiyo nini? Hao ni wafuasi wa Shibuda
 
Niliona hiyo habari na nikashangaa sana hawa wanaojiita viongozi wa Chadema wamefikaje kwenye mkutano wa mkuu wa wilaya, lakini baadae nikagundua ni kwenye jimbo la Tundu Lisu.. N hao viongozi sikwamba eti wamefukuzwa laniki eti wanahofia kufukuzwa.. Hizi propaganda tu, nchi haiwezi kupata maendeleo kwa harambee, maendeleo yanakuja kwa kuwatoza kodi wanaostahili kutozwa kodi kwa mujibu wa sheria.. haya mengine ni upuuzi tu na kero kwa wananchi yanapaswa kufutiliwa mbali maana hata bunge halijayatungia sheria..
 
Chanzo ni star tv habari tarehe 6/10/2013

Mmoja kati ya viongozi hao akiongea na star tv habari ambaye ni mwenyekiti wa CHADEMA wa jimbo la Singida mashariki na wenzake wawili, walidai wamesimamishwa na uongozi wa chama chao kwa mda usiojulikana kisa kushirikiana na uongozi wa wilaya pamoja na kampuni ya Shanti mining katika kuhimiza wananchi katika kuchangia shughuli za maendeleo, ikiwemo ujenzi wa vyoo katika shule za msingi, ujenzi wa kituo cha polisi , na ujenzi wa vyumba vya madarasa vyote vikigharamiwa na kampuni hiyo ya shanti mining company.

Je hii ni aina gani ya siasa wanajamvi?.

Hawa viongozi kwa kauli zao wameonyesha masikitiko yao juu ya maamuzi hayo ya chama chao.

Hawakujua kuwa CHADEMA kugomea kushiriki shughuli za maendeleo ni sera yao? sasa imekula kwao.
 
Kwani chadema ni chama cha watanzania wote wao wanafanya maendeleo moshi tu ndiko kuna ndugu zao.
 
Chadema ni chama cha ajabu sana wao maendeleo ni sumu wanataka watu wapate shida ili wapate la kusema kwani kuleta maendeleo ni jambo la ajabu.
 
Niliona hiyo habari na nikashangaa sana hawa wanaojiita viongozi wa Chadema wamefikaje kwenye mkutano wa mkuu wa wilaya, lakini baadae nikagundua ni kwenye jimbo la Tundu Lisu.. N hao viongozi sikwamba eti wamefukuzwa laniki eti wanahofia kufukuzwa.. Hizi propaganda tu, nchi haiwezi kupata maendeleo kwa harambee, maendeleo yanakuja kwa kuwatoza kodi wanaostahili kutozwa kodi kwa mujibu wa sheria.. haya mengine ni upuuzi tu na kero kwa wananchi yanapaswa kufutiliwa mbali maana hata bunge halijayatungia sheria..
Inaonekana unatumia kichwa kufugia nywele peke ake
 
Hili swala liko wazi chadema maendeleo kwao ni halamu yakiwepo maendeleo watakosa hoja za kuwadanganya watu.
wanataka watu waendelee kupata shida ili wao waseme serikali haijawasaidia,
mbunge mwenyewe waliyenaye ni sawa na bule kila siku yupo mahakamani utadhani kazi ya kwa wapiga kula wake.
 
Ndg ulijitahidi pia kupata habari ya Upande wa Pili illi uBalance stori? au kwakuwa Umeckia nakuona aliekuwa analalamika! Ukaja mbio hapa! Leteni habari zilizokamilika watu wapime Pumba na Mchele!
 
Chanzo ni star tv habari tarehe 6/10/2013

Mmoja kati ya viongozi hao akiongea na star tv habari ambaye ni mwenyekiti wa CHADEMA wa jimbo la Singida mashariki na wenzake wawili, walidai wamesimamishwa na uongozi wa chama chao kwa mda usiojulikana kisa kushirikiana na uongozi wa wilaya pamoja na kampuni ya Shanti mining katika kuhimiza wananchi katika kuchangia shughuli za maendeleo, ikiwemo ujenzi wa vyoo katika shule za msingi, ujenzi wa kituo cha polisi , na ujenzi wa vyumba vya madarasa vyote vikigharamiwa na kampuni hiyo ya shanti mining company.

Je hii ni aina gani ya siasa wanajamvi?.

Hawa viongozi kwa kauli zao wameonyesha masikitiko yao juu ya maamuzi hayo ya chama chao.

Star TV wakijua ethics za habari, walitakiwa wawahoji viongozi wa CDM waliowasimamisha... But kwa kuwa ni habari ya kipropaganda, hawakufanya hivyo...
 
Hii nchi tunapoteza muda kwa mambo ya ajabu ajabu tu. Ngoja EAC watunyooshe manake mambo ya msingi tunayaacha tunawekeza kwenye majungu na tilalila...Damn!
 
Chanzo ni star tv habari tarehe 6/10/2013

Mmoja kati ya viongozi hao akiongea na star tv habari ambaye ni mwenyekiti wa CHADEMA wa jimbo la Singida mashariki na wenzake wawili, walidai wamesimamishwa na uongozi wa chama chao kwa mda usiojulikana kisa kushirikiana na uongozi wa wilaya pamoja na kampuni ya Shanti mining katika kuhimiza wananchi katika kuchangia shughuli za maendeleo, ikiwemo ujenzi wa vyoo katika shule za msingi, ujenzi wa kituo cha polisi , na ujenzi wa vyumba vya madarasa vyote vikigharamiwa na kampuni hiyo ya shanti mining company.

Je hii ni aina gani ya siasa wanajamvi?.

Hawa viongozi kwa kauli zao wameonyesha masikitiko yao juu ya maamuzi hayo ya chama chao.

chama kiko kwenye media??? Wamefuata taratibu za grievances ndani ya chama hawajasikilizwa??

Nashawishika kuamini hao ni mamluuki wa chiligati, mwigulu and company.
 
Hili swala liko wazi chadema maendeleo kwao ni halamu yakiwepo maendeleo watakosa hoja za kuwadanganya watu.
wanataka watu waendelee kupata shida ili wao waseme serikali haijawasaidia,
mbunge mwenyewe waliyenaye ni sawa na bule kila siku yupo mahakamani utadhani kazi ya kwa wapiga kula wake.

Hiyo ndo siasa ya dunia hii ukitaka kujua kamuulize mjomba wenu Barak Obama awaeleze Republican wanavyomsulubisha. Tangu lini adui akaombewa neema?
 
Ndg ulijitahidi pia kupata habari ya Upande wa Pili illi uBalance stori? au kwakuwa Umeckia nakuona aliekuwa analalamika! Ukaja mbio hapa! Leteni habari zilizokamilika watu wapime Pumba na Mchele!

ndugu story imerushwa live katika taarifa ya habari saa 2 usiku..sasa wewe unataka nikapate upande wa pili, nadhani wao kama chadema kupitia kurugenzi ya habari ambayo imo humu watoe tamko...maana ni wazee wa matamko.....lakini singida si mara ya kwanza...kuna diwani wa chadema naye alibwaga manyanga kisa katishiwa kutimuliwa kwa kushirikiana na uongozi wa wilaya kuwaletea wanachi maendeleo contrary to cdm manifesto...nayo ilirushwa itv habari......meya wa ilemera kasimamishwa na chama kisa hakijulikani mpaka sasa...hali hii mpaka lini
 
Back
Top Bottom