somehow uliyoyasema ni kweli... but asilimia kubwa hata uhonge nyumba bado atachepuka tuu. hiyo ndio tabia ya ckuiz.... cha msingi tafuta anayeendana na ww kiuchumi... kimawazo...
nilishawahi kusena kuwa nina mashaka na hii mikataba anayo sign jk...... anawaita wawekezaji wkt wengine wanatulisha nyama ya punda...? hii mikataba na wachina nyuma yake kuna siri gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.