jiulize ameahidi lini mpaka anakuja kutoa leo? hai aturubuniwi,endapo siku zote tusingelikua na gari wagonjwa inamaana watu waengeendelea kufa wakisubiri ahadi yake ya miaka 5 iliyo pita?subiri october utajua hai tunamwiitaji au laa.
sidhani kama mtu kuambiwa akasome anaonewa! jiulize mwaka huu pee ni watz wangapi wamekufa kwajili ya ajali.
mambo mengine tusiyachukulie kisiasa tu tuangalie na maisha yetu wenyewe.
Wanajamvi ninamaswali siyapatii majibu,
Najaribu kujiuliza itakua vipi kama ukawa wakishinda oktoba kwenye uchaguzi mkuu? Je wataunda serikali ya mseto? au ndio utakua mwisho wa ukawa,maana iko wazi katika kugombea hakuna kiongozi yeyote wa ukawa ambaye yuko tayari kuhama chama chake na...
mbona ujiulizi walio anzisha cdm walipata wapi fedha za kujiendesha wakati wanaanzisha chama? kumbuka ata wazilishi wa cdm walikua wasaliti na ndio maana wakaweza ivyo tusione wengine ndio wasaliti tu, na unawezaje kuona mmesalitiwa angali tiari mliwafukuza? Ukawa ni nn? maana tz akuna chama...
Nadhani ndani AEC KENYA UGANDA NA RUWANDA walianzisha ushirikiano wao na wakawita Ushirikiano kwa walio tiari,kwanini kwenywe hili ushirikiano auonekani? Wakenya ni wanafiki sani na wana choko choko sana na tz, na huu siwakati wa tz kutoa msaada kwao maana awatupendi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.