Endapo UKAWA wakishinda October, wataunda Serikali ya mseto?

Hamad Mallya

Member
Apr 3, 2015
19
4
Wanajamvi ninamaswali siyapatii majibu,

Najaribu kujiuliza itakua vipi kama ukawa wakishinda oktoba kwenye uchaguzi mkuu? Je wataunda serikali ya mseto? au ndio utakua mwisho wa ukawa,maana iko wazi katika kugombea hakuna kiongozi yeyote wa ukawa ambaye yuko tayari kuhama chama chake na kuhamia kingine ili kumpata mgombea mwenza! Hivyo picha inayoonekana hapa ni makubaliano ya kuunga chama kimoja mkono.

Je wakishinda CHADEMA watakua tayari kuunda serikali ya mseto?

Na kama wakiwa CUF nao watakubali kuunda serikali ya kitaifa?

Hali kadhalika NCCR na NLD?

Watanzania tuweni makini na hawa watu tusilete ushabiki tu, tutafakari sana na tuwapime kwa umakini kama wana nia ya dhati na hii nchi.
 
uwezekano mkubwa ni kuunda serikali ya mseto lakini kama mimi ningewashauri wasiuunde serikali ya mseto bali waunde serikali ya umoja wa kitaifa itakayoundwa na vyama vyote including ccm wale waliosafi na wenye sifa za kutosha. wakichukua hili wazo maswali ya kulipiza kisasi hayatakuwepo kwani itakuwa ni serikali ya wote
 
Mimi naona kazi kubwa ni kuweza kuungana yaani kuunda UKAWA issue ya muundo wa serikali ni matokeo ya kuungana.
 
muda ukifika tutajua tufanyeje lakini raisi ajaye lazima atoke nje ya ccm
 
Wanajamvi ninamaswali siyapatii majibu,

Najaribu kujiuliza itakua vipi kama ukawa wakishinda oktoba kwenye uchaguzi mkuu? Je wataunda serikali ya mseto? au ndio utakua mwisho wa ukawa,maana iko wazi katika kugombea hakuna kiongozi yeyote wa ukawa ambaye yuko tayari kuhama chama chake na kuhamia kingine ili kumpata mgombea mwenza! Hivyo picha inayoonekana hapa ni makubaliano ya kuunga chama kimoja mkono.

Je wakishinda CHADEMA watakua tayari kuunda serikali ya mseto?

Na kama wakiwa CUF nao watakubali kuunda serikali ya kitaifa?

Hali kadhalika NCCR na NLD?

Watanzania tuweni makini na hawa watu tusilete ushabiki tu, tutafakari sana na tuwapime kwa umakini kama wana nia ya dhati na hii nchi.

Mkuu Hamad Mallya, ndio maana Vyama husika vinatiana saini MoU. Kwa kifupi MoU itakuwa na break down ya namna serikali itakavyoundwa na ni nafasi zipi zitatolewa kwa Chama kipi!
 
Rais.... Edward Lowassa
Makamu wa rais ..... Juma Duni Haji
Waziri mkuu... Dk Wilibrod Slaaa....
spika wa bunge...James Mbatia
Waziri wa fedha....Prof Ibrahimu Lipumba
Waziri wa nishati na madini...David kafulila
Mwanasheria mkuu wa serikali...Tundu Lisu
Waziri wa sheria na katiba...Ismail Jussa
waziri wa muungano...khalifa khalifa
Waziri wa ardhi na makazi... Halima mdee
Waziri wa elimu...Zuzan Lyimo
Waziri wa mambo ya ndani... Emanuel makaidi .... Ni maoni yangu....
 
Waziri wa utalii - Peter Msigwa,
Waziri wa vijana, utamaduni na michezo - Joshua Nasar
 
Kanyaga Twende,ni mwanzo mzuri mawazo
ya kuboresha yatafuata.Ila Mbatia angepewa Elimu atuondolee
Division 5
 
Rais.... Edward Lowassa
Makamu wa rais ..... Juma Duni Haji
Waziri mkuu... Dk Wilibrod Slaaa....
spika wa bunge...James Mbatia
Waziri wa fedha....Prof Ibrahimu Lipumba
Waziri wa nishati na madini...David kafulila
Mwanasheria mkuu wa serikali...Tundu Lisu
Waziri wa sheria na katiba...Ismail Jussa
waziri wa muungano...khalifa khalifa
Waziri wa ardhi na makazi... Halima mdee
Waziri wa elimu...Zuzan Lyimo
Waziri wa mambo ya ndani... Emanuel makaidi .... Ni maoni yangu....

Jumla ya mawaziri wanatakiwa 20 tu.
 
Rais-Edward Lowasa.

Makamu wa Rais-Juma duni haji.

Waziri mkuu-James mbatia.

Waziri wa fedha-Haruna Lipumba.

Waziri wa Katiba na sheria Tundu lisu.

Waziri wa viwanda na biashara-Jusa.

Waziri mambo ya ndani-John mnyika.

Waziri Jinsia wanawake na watoto-Halima mdee.

Waziri wa kilimo- Ester bulaya.

Waziri wa Nishati na madini-Dr.slaa.

Waziri wa utalii-James Lembeli.

Waziri wa mambo ya nje-philimon mbowe.

Waziri wa ushirikiano Africa mashariki-Salumu mwalimu.

Waziri wa habari utamaduni na michezo-Joseph mbilinyi.

Waziri uwezeshaji-magnalena sakaya.

Waziri wa ulinzi-wilfred Rwakatale.

Waziri wa mawasiliano na uchukuzi-peter msigwa.

Waziri wa sayansi na teklojia-John mrema.

Waziri wa Afya-profesa safari.


Nawasilisha.
 
Back
Top Bottom