ACT ndo chama pekee kinachotegemewa na wananchi kwa sasa,hao wachaga na saccos yao tumeshawashtukia
Kwanza kuna propanda imeanza kuenezwa na chadema kuwa kuna mgogoro baina ya Mwenyekiti wa chama taifa na kiongozi wa chama.Hapa ndipo ninawashangaa hawa chadema,kila kukicha chadema wimbo wao ni ACT- WAZALENDO.
Sakata la LIMBU ,Chadema walidhani wangefanikiwa kupitia LIMBU kila aina ya msaada walimpa LIMBU ili afanikiwe kuzamisha ngome ya ACT-WAZALENDO lkn walishindwa.Sasa wameanza kueneza utumbo mwingine na wenyewe umekwama. Sihitaji kueleza historia kubwa,nakumbuka MZEE MTEI aliwahi kusema kama ZITTO ana nguvu atoke akaanzishe chama chake,lkn ZITTO akawajibu atakuwa wa mwisho kutoka chadema na chadema kama wanataka wamfukuze wenyewe.
Chadema mwisho wake wakamfukuza ZITTO.ZITTO akaamua kujiunga na ACT-WAZALENDO japo wengine walitangulia akina MWIGAMBA,Prof.KITILA MKUMBO,,MWL.KAI JAGE. Hoja kubwa sasa,,Leo Chadema wameandaa mkakati na wameanza kusambaza sms kuwa ACT-WAZALENDO inajiandaa kuchukua wanachama wao kupitia mikutano mikubwa ya hadhara inayoanza hivi karibuni. Na chadema wameandaa vijana kuwafanyia ACT-WAZALENDO vurugu kama walivyofanya kipindi fulani MWANZA.
Hivi hawa Chadema wanafanya maamuzi ya kuwafukuzu akina Zitto hawakuona kama akina Zitto wanao kundi kubwa linalowaunga mkono na sasa wanasimamia mambo yao ndani ya chama chao cha ACT-WAZALENDO.
ACT-WAZALENDO wanapambana na mfumo mbovu wa CCM lkn Chadema makali yao yameelekea ACT-WAZALENDO.
Timu wasaliti.Act na wanasela ya kutetea ushoga na usaliti
swissme
ACT chama cha wasaliti na wanategemeaACT ndo chama pekee kinachotegemewa na wananchi kwa sasa,hao wachaga na saccos yao tumeshawashtukia
Kwanza kuna propanda imeanza kuenezwa na chadema kuwa kuna mgogoro baina ya Mwenyekiti wa chama taifa na kiongozi wa chama.Hapa ndipo ninawashangaa hawa chadema,kila kukicha chadema wimbo wao ni ACT- WAZALENDO.
Sakata la LIMBU ,Chadema walidhani wangefanikiwa kupitia LIMBU kila aina ya msaada walimpa LIMBU ili afanikiwe kuzamisha ngome ya ACT-WAZALENDO lkn walishindwa.Sasa wameanza kueneza utumbo mwingine na wenyewe umekwama. Sihitaji kueleza historia kubwa,nakumbuka MZEE MTEI aliwahi kusema kama ZITTO ana nguvu atoke akaanzishe chama chake,lkn ZITTO akawajibu atakuwa wa mwisho kutoka chadema na chadema kama wanataka wamfukuze wenyewe.
Chadema mwisho wake wakamfukuza ZITTO.ZITTO akaamua kujiunga na ACT-WAZALENDO japo wengine walitangulia akina MWIGAMBA,Prof.KITILA MKUMBO,,MWL.KAI JAGE. Hoja kubwa sasa,,Leo Chadema wameandaa mkakati na wameanza kusambaza sms kuwa ACT-WAZALENDO inajiandaa kuchukua wanachama wao kupitia mikutano mikubwa ya hadhara inayoanza hivi karibuni. Na chadema wameandaa vijana kuwafanyia ACT-WAZALENDO vurugu kama walivyofanya kipindi fulani MWANZA.
Hivi hawa Chadema wanafanya maamuzi ya kuwafukuzu akina Zitto hawakuona kama akina Zitto wanao kundi kubwa linalowaunga mkono na sasa wanasimamia mambo yao ndani ya chama chao cha ACT-WAZALENDO.
ACT-WAZALENDO wanapambana na mfumo mbovu wa CCM lkn Chadema makali yao yameelekea ACT-WAZALENDO.
Kwanza kuna propanda imeanza kuenezwa na chadema kuwa kuna mgogoro baina ya Mwenyekiti wa chama taifa na kiongozi wa chama.Hapa ndipo ninawashangaa hawa chadema,kila kukicha chadema wimbo wao ni ACT- WAZALENDO.
Sakata la LIMBU ,Chadema walidhani wangefanikiwa kupitia LIMBU kila aina ya msaada walimpa LIMBU ili afanikiwe kuzamisha ngome ya ACT-WAZALENDO lkn walishindwa.Sasa wameanza kueneza utumbo mwingine na wenyewe umekwama. Sihitaji kueleza historia kubwa,nakumbuka MZEE MTEI aliwahi kusema kama ZITTO ana nguvu atoke akaanzishe chama chake,lkn ZITTO akawajibu atakuwa wa mwisho kutoka chadema na chadema kama wanataka wamfukuze wenyewe.
Chadema mwisho wake wakamfukuza ZITTO.ZITTO akaamua kujiunga na ACT-WAZALENDO japo wengine walitangulia akina MWIGAMBA,Prof.KITILA MKUMBO,,MWL.KAI JAGE. Hoja kubwa sasa,,Leo Chadema wameandaa mkakati na wameanza kusambaza sms kuwa ACT-WAZALENDO inajiandaa kuchukua wanachama wao kupitia mikutano mikubwa ya hadhara inayoanza hivi karibuni. Na chadema wameandaa vijana kuwafanyia ACT-WAZALENDO vurugu kama walivyofanya kipindi fulani MWANZA.
Hivi hawa Chadema wanafanya maamuzi ya kuwafukuzu akina Zitto hawakuona kama akina Zitto wanao kundi kubwa linalowaunga mkono na sasa wanasimamia mambo yao ndani ya chama chao cha ACT-WAZALENDO.
ACT-WAZALENDO wanapambana na mfumo mbovu wa CCM lkn Chadema makali yao yameelekea ACT-WAZALENDO.
ACT chama cha wasaliti na wanategemea
Ushoga
swissme
Ni kweli kabisa CHADEMA ni level ingine. maana nimeona thread ingine huku ikielezea jinsi Kibanda anavyothibitisha kutekwa na chadema. ni nani tena anayeweza kufikia level yenu ya utekaji kwenye nchi hii?Toeni chama kutoka mitandaoni hadi kwenye ulimwengu wa kawaida nyie! acheni ujinga na Upuuzi wa kuishirikisha cdm kwenye huo ujinga wenu! Chadema hatuna shida na mtu tupo level nyingine ya juu kuliko wafadhili wenu CCM!