MBA ni nzuri kwa watu ambao tayari wana ajira coz inakupa general knoweldge kwenye fani husika,na Msc ni nzuri kwa mtu ambaye hafanyi kazi (fresh graduate) kwa sababu inadeal deaply na fani na hivyo unakuwa competent zaidi na hivyo kujiuza kirahisi kwenye soko la ajira.
So, kwa maelezo hayo...
Sijakurupuka,ndo maana nikaweka alama ya kuuliza kwamba hyo mil.3 ni kwa kichwa?
Otherwise it was like a joke,so lets forces of the market plays its role!
Pole sana mkuu,kati ya vitu nlivyokuwa nmuomba Mungu visinikute ni kuoa mke mwenye mtoto au mimi kuingia kwenye ndoa nikiwa na mtoto nliyezaa nje ya ndoa!
Kuna changamoto sana ukikutana na situation kama hyo,japo inaweza isiwe direct!
For me it is not bad even if Man U lose the game against CFC,kwa mtu yeyote anayefuatilia soka atakubali kwamba timu ilicheza vyema na ina madiliko makubwa tofauti na msimu ulivyoanza na msimu uliopita
Kilichoi-cost timu jana ni kukosekana kwa striking force,Falcao alipwaya,na kwa mechi kama ile...
Katiba ndiyo sheria mama ya nchi hivyo sidhani kama taasisi kuwaelekeza waumini wake namna ya kupata katiba bora kwa maslahi ya wananchi na waumini wao ndiyo kujihusisha na siasa!
Ndg. yangu na mimi umenigusa,kuna mdogo wangu alifanyiwa operation hapo lakini kwa kweli hali yake ndo imezidi kuwa tete na inaonekana kama hyo operation imeongeza tatizo badala ya kupunguza!
Toka hali ilivyoanza ni miaka 3 sasa.Kabla ya kupima kuna vidonge flani (sivikumbuki jina) nlikula kwa siku kumi kwa maelezo ya Dr.nlipoona hakuna mabadiliko ndo nikarudi nikapima na kupewa hizo fluconazole lakini naona na zenyewe hazijasaidia!
Dr.nashukuru sana kwa ku-respond maelezo yangu,naomba usichoke kutuhudumia.Kuhususu dawa ya kupaka nmetumia GENTRISONE cream.
Sorry,kuhusu FLUCONAZOLE kushindwa kumaliza tatizo na kama kuna dawa mbadala naona kama umesahau kunipa maelezo.Pamoja na maelezo yako mazuri uliyotupatia ktk kurasa za...
Dr.mimi nasumbuliwa na fangasi sehemu za siri pamoja na tumbo kujaa gesi na kutopata choo kwa muda.
Nlivyofanya vipimo hospital wakaniambia nina candidemia na nikapewa fluconazole kumeza mwezi mzima.lakini naona hazijanisaidia coz tatizo lilipungua kidogo baadae hali imejirudia na kuongezeka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.