1Sam 13:14: "Lakini sasa ufalme wako hautadumu; Bwana amejitafutia mtu aupendezaye moyo wake, naye Bwana amemwamuru yeye kuwa mkuu juu ya watu wake, kwa sababu wewe hukulishika neno lile Bwana alilokuamuru."
Napenda kuwajulisha kwamba asali mbichi kutoka mkoa wa Katavi inapatikana kwa wingi, bei ni Tsh 200,000/- kwa lita 20. Inauzwa kwa jumla na bei inazungumzika. Kwa anayehitaji tafadhali ni-pm.
Nawasilisha.
Bandugu naomba yeyote anayejua au aliyewahi kufanya/kujaribu kazi online anisaidie. Kazi kama "online writing jobs", au " paid social media jobs" . Je ni kazi za kweli au utapeli?
I submit.
Natafuta kazi inayohusiana na masuala ya mazingira, ecology, tourism and the like. Nina diploma ya usimamizi wa wanyamapori. Mwenye taarifa naomba msaada.
Naomba msaada wa taarifa kwa anayejua bei za madini yafuatayo ya vito kwenye soko la hapa nchini tanzania. Nahitaji bei za Emarald, Blue sapphire, green tourmaline, Aguamarine, Zircon, Red garnet, Green garnet, Black tourmaline, Amethyst na Rhodolite.
Yafuatayo ni majimbo ambayo dalili zinaonyesha kuwa matokeo yamechakachuliwa ili kuipa CCM ushindi ingawa wapinzani walishinda;
1. Shinyanga mjini
2. Sumbawanga mjini
3. Mbozi Magharibi
4. Bukoba mjini
5. Tandahimba
6. Karagwe
7. Kigoma mjini
8. Kilombero
9. Segerea
10.Geita
11.Kibaha mjini...
Meno yangu mengi yana rangi ya kahawia na baadhi yametoboka toboka. Ingawa najitahidi kudumisha usafi wa kinywa kwa kutumia dawa za kawaida za meno inaelekea yanaendelea kutoboka, kumeguka na kuvunjika.
Naomba yeyote mwenye ujuzi anisaidie kujua dawa itakayoweza kutakatisha na kutibu meno...
Mpango wa kuchangia ni mzuri. Naomba Chadema iwe wazi kujulisha wapenzi wake kuwa imepata michango kiasi gani mpaka sasa na michango hiyo imesaidiaje kwenye kampeni zinazoendelea. Hilo linaweza kuwapa moyo zaidi wapenzi watakapotambua kwamba michango yao kidogo kidogo ina manufaa makubwa.
Habari wana JF,
Tafadhali naomba yeyote mwenye ufahamu huo anisaidie kwa kunijulisha taasisi za elimu zinazoaminika ambapo naweza kujiunga na kusoma kozi niitakayo online. interest yangu ni kwenye masuala ya sheria,mazingira,mipango na uchumi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.