mkuu dhahabu haiko kwenye kundi la vito vito ni madini yote yanayochimbwa na kuuzwa direct bila kuyaprocess kama almasi tanzanite tomaring na jamii za hayo.samahani ni kuelimishana tu na siyo kusutana.dhahabu kuna ambayo haijasafishwa na ambayo imesafishwa...zinauzwa kwa tora tengemeana na upande uliko...pande za tarime,geita,kahama (tulawaka....).....sema wataka dhahabu ya wapi!!
inategemea na quality kuna za kilo kuna za gram sasa sijui unaulizia kivipihellow
napenda kujua bei va madini haya
blue saffier
green tomarin
red gainet
road lite
vovyote ilivyo naomba kufaham bei either safi au haijasafishwa bei zake kwa hapa tanzania ni kiasi gani?
habari mim nina rough red spinel ila sijui soko lake liko vip naomba muongozo nduguInategemea ni vito aina gani unaongelea, ungetaja aina ili tuweze kukusaidia bei