Habarini wajukuu wema na wabaya. Nimeletewa mashitaka na huyu kijana mwenye ndoa ya miaka mitano sasa.
Anasema alitahadharishwa na watu kuwa unaoa dada wa Kilimanjaro, jiandae kwenda kunyimwa tendo la ndoa, hakuwasikiliza. Sasa yamemfika. Anadai kuwa wanaweza kukaa hata miezi sita bila...
Habari hii nimeikopi sehemu..
TUNACHEKWA NA DUNIA NZIMA!!
Tumekuwa kicheko cha Dunia. Tunachekwa na kila mtu mwenye akili timamu kwa sababu sisi wenyewe tunachekesha.
Piga picha unamsimulia mtu mwenye akili timamu habari zifuatazo;
1. Miaka mitano nyuma nchi ilikuwa na umeme wa uhakika...
Natanguliza salamu,
Jumuiya ya Afrika ya Mashariki iliundwa mwaka 1967 na kuvunjika mwaka 1977. Baada ya kuvunjika Jumuiya hii, Serikali ya Uingereza ilitoa fedha kwa ajili ya kuwalipa pensheni zao wafanyakazi wa iliyokuwa Jumuiya hiyo. Wafanyakazi wa Kenya na Uganda walilipwa pesa zao.
Hapa...
Naanza kwa kuwasalimia wakuu. Hapa ntaongelea matukio mawili niliyoyashuhudia kwa macho yangu.. Pia ntaongelea matukio machache niliyoyasikia.
Mwezi mmoja uliopita mida ya saa 11 alfajiri nikiwa napita maeneo ya Mbezi mwisho jirani na stendi ya mabasi ya Magufuli nilishuhudia mwili wa mwanamke...
Unaweza kushangaa kwa nini nimepost hapa kwenye jukwaa la siasa.. Lakini huu ni uhujumu uchumi.. Juzi nikiwa Mwenge sokoni mtu wa parking alinielekeza vizuri sehemu ya kupaki gari.
Nikapaki nikafanya ghughuli iliyonipeleka ndani ya dakika ishirini nikawa nimemaliza naondoka.
Jamaa akaja na...
Katika suala zima la mahusiano na mapenzi watu wanatofautiana. Tofauti hizi huacha kumbukumbu nzuri za kudumu na wakati mwingine majuto ya kudumu.
Binafsi nishakutana na wengi. Yupo anayeongoza kwa usafi wa mwili. Yupo mtoto wa kindendeule aliyempindua mtoto wa kifipa kwa uzungushaji wa...
Kwa muda wa takribani wiki tatu nimekuwa nje ya mtandao wa jamii forums. Niliamua kujiweka pembeni ya JF ili nifanye kautafiti kangu binafsi..Nilichogundua ni kuwa kwa sasa tuna Tanzania mbili tofauti.
Tuna Tanzania halisi na Tanzania dhahania.
Tanzania halisi ni ile niliyoishuhudia ambapo...
Nyumba zipo Kinyerezi kwa makofia umbali wa mita 200 toka barabara ya lami. Zipo ndani ya uzio mmoja na kila nyumba ina sebule na vyumba viwili. Chumba kimoja ni master bedroom na kuna public toilet na jiko kubwa. Umeme na maji ni vya uhakika. Usalama was kutosha. Bei ni Tshs 500,000/- kwa mwezi...
Mara ya mwisho nilikutana nawe mwaka 1994. Toka kipindi hicho mnato nimekutafuta katika mabara yote ya dunia hii, sikubahatika kakutana nawe. Mnato ulikua umebebwa na binti aitwae Victoria. Ulikuwa mnato kweli, mwanzo hadi mwisho. Lakini tokea wakati huo sijakutana nawe tenaa. Kila ninapodhani...
Lengo langu ni kujaribu kuangalia raslimali watu aliyonayo mheshimiwa Lissu katika kuunda serikali yake pale atakapochaguliwa kuongoza Taifa.
Tukumbuke kuwa hataongoza peke yake na lazima atahitaji wasaidizi. Tuanze na baraza lake la mawaziri.
1:Rais - Tundu Lissu.
2:Waziri Mkuu - Freeman...
Hii ni kwa shughuli za harusi, send off, birthdays kipaimara ubatizo,mahafali pamoja na shughuli zote zinazohitaji vipaza sauti.. Contact 0657279927/0767683094..
Mara nyingi tunaambukizwa na wale tunaowapenda na kuwaamini kupita kiasi. Ni nadra sana kupata gonjwa la zinaa pale unaposema napita tu. Magonjwa ya zinaa yapo mengi sana. Yanayotibika na hili baba lao lisilotibika. Sasa wewe great thinker mwenzangu, ulichukua hatua gani ulipogundua kuwa mwenzi...
Ni baada ya mechi kukolea mpaka uwanja ukakauka Nikatoa pendekezo, paka mate basi iteleze. Naye bila hiyana akaniuliza nipake wapi sasa mbele au nyuma?? Msukuma nikashindwa kuelewa. Hivi hawa watu wanatufikiriaje wanapotuangalia? Wanadhani kila mwanaume anapenda kuzibua??
Nataka nianze kwa kusema kuwa mimi ni mzima kabisa. Na kama kungekua na dawa ya kupunguza nguvu za kiume ningetumia. Maana katika utu uzima huu wa 45+ bado nina uwezo wa kukimbia hata round tisa. Shida ni kuwa kama miezi miwili iliyopita niliokota kamchepuko sehemu. Cha kushangaza ni kuwa...
Kama mada inavyojieleza. Sote huwa tunaumia tunaposalitiwa na wapenzi wetu. Utakuta nimemgharimia kumsomesha, kumsubiri amalize masomo na kuhakikisha anaishi bila ya matatizo. Anapomaliza bila aibu ananiambia wewe sio type yangu wala hukuwa chaguo langu .Kama gharama sema ni kiasi gani...
Albert Einstein alipata kusema kuwa "If you want to understand life,look deep into nature" Sasa unapoangalia katika viumbe hai wote hakuna kiumbe jike hata mmoja mwenye wivu. Wivu wa wanawake hawa unatoka wapi. Wanalinda nini? Kimsingi wivu wa mwanaume unasababishwa na asili ya kila mwanaume...
Nawasalimu kwa heshima na taadhima wakuu. Alfajiri ya leo mida ya saa kumi na nusu nilitoka ili nifanye mazoezi ya kukimbia kwa nusu saa. Kilichonishangaza ni kuona mgongo wa mnyama mkubwa kuliko mbwa na anamkaribia simba akitembea katika majani marefu. Sikuweza kuona kichwa chake wala mwisho wa...
Nashangaa simu inaita. Namba ngeni. Nikapokea nasikia sauti ya mwanamke. Anajitambulisha mimi ni mkeo wa zamani. Nani nikumbushe wa zamani mpo wengi mbona. Alijitambulisha. Anhaa ni wewe za masiku.
Akanijibu nzuri upo wapi siku hizi? Nipo mkoa nahangaika na wewe upo wapi? Nipo Dar bado...
Kama mada inavyojieleza wadau. Nina rafiki yangu ambaye anamiliki Mini supermarket. Na pale amemuweka mke wake aisimamie. Mara kwa mara mimi hufika pale kwa ajili ya kufanya manunuzi na kumuungisha rafiki yangu. Kama mwezi mmoja uliopita huyu mama ambaye ni shemeji akaniambia shemeji leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.