Waliosoma bachelor of information technology
Naomba msaada maana nimechaguliwa NIT kwa kozi hiyo
Tatizo sijui inadili na nini pia soko la ajira kwa hiyo kozi maana najifikiria kubadil kozi
Wakuu jana nlikaa na mzee wa Kihehe, nikamuuliza kuhusu wao kuhusishwa na kula securiter a.k.a wuuwuu ze dog na alichonojibu ni hiki hapa
Basi hapa Wajerumani wakajua amekul ugali na dogi yaan mbwa ze wuuuuuwuuuu, uvumi ukaanza vuma hapo" hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nam leo mzaramo ila nakula...
nimeulizwa maswali haya na nimeshindwa kuyajibu sijui wewe unisaidie.
1.unaamin uwepo wa samaki mtu yaan NGUVA?
2.kama unaamin ulishawah kuona pcha ama kusikia kuwa kuna nguva wa kiume?
3.kama hakuna nguva dume je wanazalianaje?
4.ulishawah kusikia kuwa kuna nguva mweusi(mwafrika)? Tafadhal...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.