Nassib nyika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2016
- 962
- 471
Kimefungwa had mwez 12
NIT tafuta biashara ya kufanya maana hata semester y pili haijaisha... hiki chuo kinakera kina ratiba y kipekee tofaut n vyuo vingneJamani naombeni msaada,
Kuna hiki chuo cha National Institute of Transport mpaka leo bado hakijatoa majina ya first degree waliochaguliwa kuingia pale kwa mwaka 2016/2017 na me na hisi nimechaguliwa pale, sababu niliomba vyuo vitatu yaani UDSM, UDOM na NIT Profile inaonyesha i have selected ila udsm na udom sipo.
Kama kuna mwanafamilia wa JF anayo list tafadhali mnisaidie ya hapo NIT
Usijute kaka maisha kupambana kuna watu wamesoma hapo NIT wako vizur tuduh mbona kama ni hivyo tutasubiri sana, najuta afadhali hata ningeomba DIT
Umejuajetujzane hata mimi naenda hapo
Kwani DIT tatari?duh mbona kama ni hivyo tutasubiri sana, najuta afadhali hata ningeomba DIT
Yapo wapi mkuu,mbona huwezi kudownload kwenye website yao?NIT Majina yapo
kuna jamaa anasem tareh 22 hetiNasoma NIT na kwa taarifa zilizopo nikwamba first year kuja ni mpka november mwishon au mwanzoni mwa december kwa sababu tunasoma kwa shift na lazima watu watoke kwanza ndio first year waje
Ya mwezi ganikuna jamaa anasem tareh 22 heti
huu wa kumiYa mwezi gani
Chuo knafunguliwa tarehe 28 mwez wa11,na join inxtr.watatoa kweny web yao j5 ijayo,ujaze uje nayo cku ya kufungua chuowakuu kwa yeyote anaesoma NIT atusaidie tarehe ya kufungua chuo rasmi au kwa taarifa yeyote saidizi
ahsante
Mmnh shukrani mkuu unapiga hapo nnChuo knafunguliwa tarehe 28 mwez wa11,na join inxtr.watatoa kweny web yao j5 ijayo,ujaze uje nayo cku ya kufungua chuo