jamani leo nataka kuparty na wana JF je twende wapi? nausindikiza mwezi niliozaliwa ndo unaishia hvo je tuka party wapi? woote mnakaribishwa sana bills zote juu yangu
Yaani siku zote ukishangaa ya Musa utayaona ya Firauni jumapili nilikuwa naenda kanisani ghafla nikakumbuka nimesahau Tenzi na biblia nikajishauri bora nirudi hata nikichelewa nitaingia ibada ya pili wakati narudi haraka ili niwahi karibu kabisa na nyumbani nikamuona house boy wetu anaingia...
Naanza kwakusema ahsanteni sana hasa kwakumpa ushauri wenu mzuri dada yangu japo wengine walibeza badala ya kushauri. Niliongea na dada juzi nikamueleza kila kitu na ilibidi ni print kilia ushauri wa mtu kwakweli ilikuwa kama ametolewa usingizini kitu kimoja tu aliniahakikiashia atalirudisha...
Ni jana tu kanisimulia alianza kwa kumpa safari za kila mara, akamuongezea bonus zake, short cause kwake hazikauki dada akawa haelewi kuna nini. Mwisho wa yote akamtamkia live na akamwambia anampenda na wala acwe na haraka yakujibu aende akafikiri akiwa tayari atamuambia jana akanunuliwa gari...
Leo nisiku yangu ya kuzaliwa namshukuru mungu kwa kuniwezesha hata kufika miaka hii, zaidi kuwa familia nakumuomba aniepushe na magumu yoooote yanayonikabili
Zaidi nawakaribisha wanaJF wooote watakao jaliwa kufika ZHONG HUA GARDEN mpate japo cake na kunitakia baraka mie bday girl,
najisikia kumchoka mwenzangu bila sbbu yuko sawa kila k2 ila sina ham naye tena kama zamani tulipokuwa wachumba najitahidi nashindwa sina nyumba ndogo ila natamani wakti mwingine ila cjawahi fanya ila mwenzangu wa ndoa nimechoka kabisa hajanikosea haja badilika ila nahisi kumchoka nisaidieni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.