ngonzi zomukama
Senior Member
- Apr 13, 2010
- 170
- 5
najisikia kumchoka mwenzangu bila sbbu yuko sawa kila k2 ila sina ham naye tena kama zamani tulipokuwa wachumba najitahidi nashindwa sina nyumba ndogo ila natamani wakti mwingine ila cjawahi fanya ila mwenzangu wa ndoa nimechoka kabisa hajanikosea haja badilika ila nahisi kumchoka nisaidieni nifanyeje jamani?