Baada ya simba mnyama mkali kufuzu hatua ya makundi jana kwa ushindi mwembamba tulioupata wa jumla ya magoli 4 - 1 mimi kama kiongozi wa simba naomba radhi kwa ushindi huo kiduchu ndio maana tukajadiliana tupate proper striker january ili tuwe tunafunga vya kutosha
Kwanza kwa inavyoonekana sisi...
Foward hatari wa kimataifa fox in the box aliyepachika magoli ya kutosha kwenye mechi chache takwimu zake ni hatari amekuja nchini kutusaidia kimataifa mwite Lazarous Kambole mechi 46 magoli 2. Mengine hawajayahesabu mazoezini.
Winga hatari winga wa kuingia nyo kwenye box aliyelitumikia bechi...
Nilishtushwa sana na tetesi zilizokjwa zinsema ronaldo to the citizen
Nikajisemea na vitimu vyetu hivi vibovu tutalia na kusaga meno
Mungu sio Ambagile cr7 huyo utd anateseka tu
timu hovyo kocha hovyo
kila mechi wanaruhusu mabao
wapo wazi nyuma wanaruhusu tu
Angeenda Man city timu za hovyo...
Nani asiyeipenda simba ukiachana na wavuta bangi ?
Nenda kwa wanalamba lamba watakwambia simba baba lao
wanajeshi wa mpakani huwaambii kitu kwa mnyama
Sasa Caf wameanza kuisogelea simba
washajua simba ina mashabiki wengi sana
Na mpira unahitaji mashabiki tena mashabiki lia lia
Hivyo wameamua...
Simba One team one dream
Hii nchi ni ngumu sana kwa upande wa pili ila kwetu raha kama zote ndio maana tukipiga chafya wanatuambia tuna korona
Kuna hoja mfu sana na dhaifu yaani aibu hata kuongelea ila hawa ndugu zetu wamekazia shingo kama ndio wakiziona watapata ubingwa
Wana swali lao eti...
Hizi sio zandani wala nini.
Bwana Eze Kamwaga anatuambia timu nyingi sana kutoka kila pembe ya Afrika wanagombania nafasi ya kushiriki simba day timu kubwa kubwa kuanzia zenye makombe nane ya Afrika mpaka kajamba nani huko wanagombea fursa adimu ya kuonekana duniani kucheza kwa Mkapa na Wana...
Tarehe rasmi ya simba day imetoka. Tukutane Kwa Mkapa September 19
Siku itakuwa ya furaha mara mbili maana uto watakuwa washatolewa, wiki moja mbele tunawabomoa tena.
Kuna mlemavu alisema hakuna simba day mwaka huu
Sisi ndio waanzilishi na tutaendeleza
Tajiri kijana mwenye hisa zake pale kwa timu bora Afrika Mashariki na namba mbili Afrika Mashariki na Kati
Na wa kumi na nne Afrika nzima na wa sabini na moja dunia nzima mbele ya Arsenal
Ameshaweka wazi kwamba msimu ujao kwa mabeberu pre-season
Sasa wale walioshindwa hata pre season kwa...
Kwanza hatokei Congo
hapaki bleech
Anajua kucheza rafu
anajua kupiga pasi kama dobi
Ni Sadio Mane na Fedric Kanoute kwa pamoja
Ngolo kante simu yake imejaa video clip za sadio
Shoot power 99 kama adriano
Body Balance 97 kama ibrahimovic
Pass accuracy 98 kama Xavi
Stamina 95 kama Ng'olo...
Hali si shwari huko Lamba lambani baada ya kumpa mlemavu nafasi ya kutukana matajiri.
Sasa matajiri nasikia wanapanga mechi zao kuoneshwa na Dstv kuanzia tamasha la Simba Day mpaka mechi za kimataifa.
Mimi kama shabiki wa Simba haswa tupo upande wa tajiri, hata kama hatuna ving'amuzi tutaenda...
Ni mwaka sasa umepita tangu niifute namba yako kwenye simu yangu
Japo juzi juzi umenitafuta ila sio kupitia namba yangu kupitia kwa ndugu yangu habari nikazipata nikamwambia achana nae
Kiukweli baada ya kuniambia kichwa changu hakikukaa sawa ndo nikajua bado upo moyoni mwangu na kichwani ila...
Naangalia hapa zaidi ya mara tano kila moja
Guys wenzetu wapo mbali sana sana
Hizi ni mfululizo wa movie zinazomuhusu captain Jack sparrow
zipo tano
kinachonivutia walioandika script hawa jamaa wamenifanya niwe nairudia kila napopata nafasi kuziangalia
nikipata mwanamke ninayempenda kama...
Habari za siku nyingi humu jukwaani
Nipo kama sipo Ila siku zinaenda. Japo namiss zile siku nilizokua active sana humu
Kuna mambo nimeweza kuyabadilisha ila hili naloleta kwenu limenishinda haswa na sijui kama nataka kutoka
Iko hivi
Mimi nikipenda nampigia hata mara 20 kwa siku. Kila...
Kutokana na Simba itabeba ubingwa wa caf champions league msimu ujao sasa tumerahisishiwa
Shirikisho la soka Afrika limebadili sheria ya mechi za fainali
sasa mbungi kuputwa uwanja usio na mwenyewe
mechi itakuwa moja tu
Ahsante kwa Wydad Casablanca figisu mlizofanyiwa zitaibeba Simba...
Heri ya mwaka mpya wana jamii watu wa maana na mitakataka yote
salam zangu za kwanza ziende kwa dada yangu Khantwe
ujumbe hata kama hujanialika mimi nitakula tu ubwabwa kwa jirani
salam zangu za pili ziende kwa espy ujumbe we nidanganye tu kama utanipenda maana sitaki kuambiwa ukweli
salam...
Baada ya chama kutupa zawadi ya Christmas wana msimbazi ni wakati wa kumuuliza anataka zawadi gani kutoka kwetu
Je unataka kukaa madale ?
diamond tutamtimua
Je unataka kuwa msemaji wa simba ?
Manara atafute kazi nyingine
Unataka kuwa rais wa simba ?
Utapata usijali
Unataka kuwa rais wa...
Nipo hapa napata kilaji nikaanza kujiuliza hiki kiswali cha uzushi ila ni la kimantiki ambacho kinanitatiza
Rais wetu anaitwa John Joseph Pombe Magufuli
Makamu wa Rais anaitwa Samia Hassan Suluhu
Mkuu wa mkoa wetu pendwa anaitwa nani jamani
Sio kwamba nina shida sana hapana nataka nisilewe...
Hii nyimbo mpya ya gigi inayoitwa Kiki ni gigi
gigi kanikomesha ukchukia unajipa tabu angalia video utaona Cardi b hamuwezi Gigi
nimeamka kukera watu leo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.