hakika huyu n mtumishi wa Mungu aliyehaii,,, Mungu atamvisha taji yake,, Natoa wito kwa Wanazuoni,, wasomi na vyuo vikuu nche na ndani ya nchi hiii kumtunuku phd ya heshima hakika huyu n Dr mwakasege...
wadau nimesoma comment zenu kwa nimeumia sana..
Tatizo hili n kubwa sana kwa sisi vijana tuliovyuoni tunashuhudia
mimi binafsi nimewaona vijana takribani 8 sasa wote n mashoga
ukiwaona huwezi zania, ukizungumza nao ndo utagundua baya zaid wazazi wao hawajui.
wakwanza wa kulaumiwa juu ya hili n...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.