Kabisa kabisaaa kweli tupu
Natoaa wito kwa Wanazuoni,,,wasomi na wanaharakati ndani na nche ya Tanzania kwa kutambua mchango wa Mwl hakika anastahili Phd ya heshima.
Daaa minaunga mkono coz kunakitabu flani ameandika cha mzaliwa wakwanza kama lango"
Hikitabu kimenifumbua mambua macho sanaa..mimi kama mzaliwa wakwanza.
I need that book where can I get comrade?
mkuu mie naanza kabisa Dr mwakasege
Naweza sema ni Mrithi wa kweli wa marehemu Askofu Moses Kulola
Udokta wake wa sasa ni wa kama Maji Marefu !?
Naweza sema ni Mrithi wa kweli wa marehemu Askofu Moses Kulola