Wakuu salama,
Naomba msaada wa kupata lodge nzuri na yenye bei nafuu kuanzia 20,000 hadi 30,000 maeneo ya jirani na Muhimbili hoapitali.
Mke na mwanangu wanakuja huko hospitali
Wakuu habarini,jumatatu ntakua Dar kuna semina ntafanyia ukumbi tajwa hapo juu,nina mtoto mchanga ninaomba msaada wa kuelekezwa lodge nzuri iliyo jirani na Kisenga na yenye bei nzuri ili nifanye booking mapema.
Budget yangu ni sh.elfu 20000 hadi elfu 30000.Ahsanteni sana.
Habari zenu,ni mwisho wa Mwaka sasa na hatuna budi kumshukuru mwenyezi Mungu kwa kuendelea kutuweka hai na kwa kweli namba tunaisoma aisee....Kwa upande wa burudani tunashukuru Mungu kwa vijana wetu kuendelea kutesa kimataifa,hongera kwa Diamond,Alikiba na wasanii wote waliothubutu kupambana...
Kwa yeyote anayehitaji daktari Morogoro mjini au sehemu yeyote,nipo natafuta kazi,nina uzoefu wa mwaka 1 baada ya kumaliza mafunzo ya vitendo,ni mchapa kazi na naweza fanya kazi bila kusimamiwa,kwa mawasiliano zaidi njoo pm
Wana JF,
Kesho naingia kwa mara ya kwanza Dar nikitoka Mawemilu Shinyanga Vijijini, sasa naomba msaada wa kuelekezwa wizara ya afya ilipo maana ndo nina shida huko, natanguliza shukurani zangu.
========
mi sio mtaalamu wa Masuala ya simu,nimeipenda sana hii simu nataka nijichange niichukue;android version ni 4.4.4 na kernel version ni 3.442-gdb5a4c6 na system version ni 24.13.2.obake-maxx_verizon.Verizon.en.Us.Je inaweza kua inapiga mzigo vizuri??
Wasalaam wakuu,
Natafuta kiwanja moro mjini cha kawaida tu nijenge kibanda cha kuishi maana nimechoka kupanga bajeti yangu ni 1.8-2mill.
Nitashukuru sana kama nitasaidiwa kupata hicho kiwanja
Organaizesheni tajwa hapo juu ilitangaza nafasi kadhaa za kazi mwezi uliopita,lakini wanatuma email kwa waliofanikiwa watume vyeti na shs 51500 kwa ajili ya kucertify hizo scanned doc....Wasi wasi wangu je huu sio utapeli kweli??wanadai ofisi zao zipo mikocheni B.Tafadhali mwenye taarifa zozote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.