Search results

  1. G

    Yaliyojiri: Mazishi ya Mohamedi Mtoi, Lushoto - Tanga

    Aah! yamekua hayo tena? Tuache chuki binafsi.
  2. G

    Connecting Dots: Kingunge kudhibiti taarifa ya hali ya Mwalimu UK 1999 na Urafiki wa ghafla na EL

    Utakua umeagizwa ww! Iwe mvua au jua,hamna rangi mtaacha ona.
  3. G

    John Mnyika acha kudharau elimu ya Tanzania

    Big up Mnyika. Uko sahihi 100%. Wanaokupinga ndio walewale.
  4. G

    Wabunge waliopoteza ndoto ya kurudi mjengoni!

    Chambiri-babati mji. Jitu Soni- babati mjini + Ndesamburo -Moshi mjini.
  5. G

    CHADEMA 'Lowassa siyo fisadi', CCM 'Lowassa ni fisadi'

    Amani iwe kwenu! Inashangaza sana yule aliyeitwa fisadi leo kuonekana msafi. Eti "tatizo lilikua mfumo". Hili nalo neno.
  6. G

    Siri nzito zilizovuja kutoka Team Lowasa hizi hapa

    Tupeni yanayojiri huko wadau. Hivi hiyo top 5 itatangazwa mda gani.
  7. G

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo lindi manispaa nije wilaya yoyote mkoa wa manyara.
  8. G

    Hii fomesheni ya W=1×3 ilifanya nihic nina upungufu wa nguvu za kiume

    Hii ni mbinu ya kuhalalisha uzinzi,ila nakushauri umweleze wife nae aweze chepuka ili akidhi haja yake.
  9. G

    Mshahara anaolipwa Mkwasa unaleta picha gani kwa Watanzania?

    Saaafi saana BON,piga hela usijali. Wanaokuonea wivu kama mleta mada wakajinyonge.
  10. G

    Makonda: Nimeajiri wanasheria saba, nawalipa 75% ya mshahara wangu

    Huu ndio mwaka wa uchaguzi..tutasikia mengi sana. Tatizo "cheap popularity".
  11. G

    Natangaza kugombea ubunge jimbo la KARATU...

    Acha ndoto za mchana.
  12. G

    Wenje awatuhumu wajumbe wa kundi la 201 kuhongwa!

    Upuuzi uko wapi hapo? Huwa hampendi ukweli nyinyi. Vipi kauli ya Nchemba?
  13. G

    CHADEMA na CUF waungana kipinga nyongeza ya posho bunge la katiba

    Aah!Yamekua hayo tena.Acha ushabiki wa vyama.
  14. G

    Nyaronyo Kicheere 'ahamia CCM'

    Kumbe wengine huwa mna wa nunua. napita tu.
  15. G

    CHADEMA watoa siku tatu kwa Rais Kikwete. Nape asema Rais hatafuta kauli bali ataongeza nguvu

    Sijui hii nchi inaelekea wapi. Suala la kulinda raia liko chini ya jeshi la polisi na wala si green guard wala red brigade..au kikundi kingine cha chama chochote. Hapo ni kutafuta vurugu.
Back
Top Bottom