Mumezoea wezi na wanaojikweza siyo? Kweli shukrani ya Punda ni mateke.Huyu ni miongoni mwa wanasiasa washamba.
Huyo ndio mkuu wa wilaya Kinondoni amewaajiri kwa fedha yake waweze kusaidi wananchi wasiojua sheria waweze kufanya mikataba ama kufungua kesi.Clouds TV
Huyo ndio mkuu wa wilaya Kinondoni amewaajiri kwa fedha yake waweze kusaidi wananchi wasiojua sheria waweze kufanya mikataba ama kufungua kesi.Clouds TV
Wanasheria saba kwa 75% ya mshahra wake. . .,. . . . .Labda kama wanakula na kulala kwake. . . . wako mfuko gani wa pensheni na bima ya afya kampuni gani??!!
Tatizo la wakuu wa wilaya ambao hata hawajui mfumo wa kuendesha NCHI ....Mkuu wa wilaya ofisi yake Ina kitengo cha sheria ....Kina wanasheria ..akitoka hapo bado anao uwezo wa kuwatumia wanasheria wa manispaa ....,wakielemewa anauwezo wa kuomba mashirika ya kutoa misaada ya sheria ...Sasa iweje aanzishe ofisi mpya ...mwanasheria wa wilaya au manispaa wanaangalia tu ...au kawadharau Au ni wabovu awafukuze kazi .....mwenzake Korogwe alimuambia mwanasheria wa wilaya Ana degree wa chupi ...akaishia tume ya maadili na chupi akavikwa yeye kichwani !!!!
Huu ndio mwaka wa uchaguzi..tutasikia mengi sana. Tatizo "cheap popularity".
Hehehe hii nchi hii...!!!
Kwa hiyo hao wanasheria wapo chini ya ofisi ya wilaya au ofisi binafsi ya Makonda?