monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,516
- 13,042
Tunakufa huku tukijiona!
Mbona mnakuza mambo wakati hayako hivyoAisee wakuu hali ni mbaya,
Nimeona habari katika chanzo kimoja cha kimataifa, ni kuwa kuna hatari ya kuwekewa vikwazo vya kusafiri kwenda ulaya na marekani kwa viongozi fulani kutoka Tanzania.
Inasemekana vikwazo vinaweza kuwakumba, Paul Makonda, msajili wa vyama vya siasa, na baadhi ya viongozi wa juu wa serikali.
Aisee hali ni mbaya
Source. Fox news.
Kwani nani anataka kwenda marekani makonda afate nn marekani? Jpm mwenyewe hajawahi kwenda hata kwa mwaliko wao huwa haendi.Aisee wakuu hali ni mbaya,
Nimeona habari katika chanzo kimoja cha kimataifa, ni kuwa kuna hatari ya kuwekewa vikwazo vya kusafiri kwenda ulaya na marekani kwa viongozi fulani kutoka Tanzania.
Inasemekana vikwazo vinaweza kuwakumba, Paul Makonda, msajili wa vyama vya siasa, na baadhi ya viongozi wa juu wa serikali.
Aisee hali ni mbaya
Source. Fox news.
Wanakera kama nini, wamejaa hofu ya kuzimu.Mbona mnakuza mambo wakati hayako hivyo
Kwani ni kiongozi gani wa awamu ya tano aliekwenda huko zaidi ya Mahiga?Nimeona habari katika chanzo kimoja cha kimataifa, ni kuwa kuna hatari ya kuwekewa vikwazo vya kusafiri kwenda ulaya na marekani kwa viongozi fulani kutoka Tanzania.
Jwa hao, hata kama US/EU wakiazimia wakamatwe au watekwe na kwenda kuhukumiwa kwenye mahakama za Marekani kama alivyofanyiwa yule Rais mfanyabiashara ya madawa ya kulevya, Noriega, litakuwa ni jambo jema sana.Aisee wakuu hali ni mbaya,
Nimeona habari katika chanzo kimoja cha kimataifa, ni kuwa kuna hatari ya kuwekewa vikwazo vya kusafiri kwenda ulaya na marekani kwa viongozi fulani kutoka Tanzania.
Inasemekana vikwazo vinaweza kuwakumba, Paul Makonda, msajili wa vyama vya siasa, na baadhi ya viongozi wa juu wa serikali.
Aisee hali ni mbaya
Source. Fox news.
Kwa hiyo tutegemee watakufa Kwa kuzuiwa kwenda Ulaya!
Hebu tupe link ya hbr husika
Wewe unauwezo mkubwa sana wa kuona. Hiyo issue ndio ina trend huko kwa sasa. Na sio kuhusu Tanzania tu. Sababu sisi huku tunapelekwa na lundo la ujinga tunadhani Wamarekani wanakaa vikao kujadili visa za akina Makonda. Ukisoma hapo juu, utaona huruma sana.Kama umefuatilia news za wenzetu siku mbili hizi utakuwa umekutana na news kuwa Marekani inaanza kupambana rasmi na ukuwaji wa uchumi na influence wa nchi ya China na Russia Africa.
Kwa hiyo, hawa jamaa wakiweka vikwazo Tanzania, wala siyo kwa faida yetu au kwa kutusaidia. Lengo lao kubwa ni kuibana China na Russia kwenye nchi za Africa.
Sisi huku tutapiga makofi na kuwashukuru wakati mzee Trump hana time na wewe kabisaa, lengo ni kuiangusha China na Russia.
Wapiganapo fahari wawili... Ziumiazo nyasi... Endeleeni kuwapigia wazungu makofi.
Chanzo cha habari ni BBC, Aljazeera na Reuters
U.S. to counter China, Russia influence in Africa: Bolton | Reuters
Magufuli akiacha kusigina katiba eventually mambo yatakaa vizuri tu, lakini kwa njia aliyoichagua atapata tabu sana.Democrasia umekuwa nayo miaka mingi na hujaeta maendeleo.. bado masikini.. Leo tunainua uchumi wetu na kukemea vitendo vya wizi .. wewe unakaa tu kusemea wanaume wa ulaya .. Eti Domokorosia... Mtu ushinde unapiga porojo bila kufanya kazi kisa democrasia..
Itakuwa pigo kubwa sana kwakeNdugai wamzuie kwenda India
Jiwe pumbavu & jinga sana.Upambavu ni wako na hao jamaa zako !
Umasikini unakusumbua. Umekosa michongo ya hela unaona bora umwage ugali wote wakose ikiwemo vita.
Nimefanya kazi na makampuni binafsi ambapo nimeweza kusafiri kwenye nchi kama Sudan na Somalia.
Ombea vitu vyote, kasoro vita aisee. Hiyo kitu acha kabisaa.
Wazungu wakati mwengine kama matahira flani ivi. Wanaona kwenda ulaya ni deal. Walitaka nchi hii iwe na kiongozi mkuu mtembeza bakuli ulaya. Eti kuwekewa vikwazo kwenda ulaya!!! Kicheko .com
Upumbavu waliuanza wazazi wako kwa kutovaa condom, sasa unatusumbua na ulimbukeni wako.Jiwe pumbavu & jinga sana.
Walitaka Assad atoke, mpaka leo anadunda na matokeo yake wana crisis ya wakimbizi waliowasababishia wao.Hata mimi nilikuwa naogopa vita sana, ila kwa tulikofikia hapana aisee, waje tu wakinukishe jiwe litoke, hivi huoni jinsi lilivyoharibu nchi yetu pendwa?
Tengenezeni hoja.Umebaki kupayuka.
Acheni hiziMpumbavu ni wewe unae abudu ukoloni mambo leo!