Search results

  1. A

    Rostam Aziz Kugombea Urais 2015????

    Wakuu, Kuna tetesi kuwa RA atajitosa kugombea Urais mwaka 2015. Yangu macho na masikio....
  2. A

    Hiyo Siku Yaja

    Hiyo siku yaja ambapo upendo katika nchi hii utatoweka. Tunakoelekea kama taifa si kuzuri hata kidogo.
  3. A

    Sababu za Marrian Girls ya Bagamoyo Kung'aa!.

    Hakuna cha ajabu kuhusu hao watoto. tatizo kama taifa tumepoteza muelekeo katika elimu. Inatia aibu na kusikitisha sana katika hili. Suala la ubora katika elimu inaonekana ni msamiati mgumu sana kwa serikali yetu. Ni muhimu kama taifa tukatambua kuwa njia iliyobora zaidi katika kugawana keki ya...
  4. A

    Jumamosi Iwe Siku ya Usafi Nchi Nzima

    Naona kama wazo limeanza kutekeleza japo si kwa kila Jumamosi na pia naona bado umakini unakosekana katika kutekeleza wazo hili.
  5. A

    Nikaishi wapi Dar hii, nikimbie hizi foleni?

    Wazo ni nzuri.
  6. A

    Game Theory, FMESS

    Ni kweli hawa watu walikuwa moto wa kuotea mbali.
  7. A

    Hivi ni Mbowe au CHADEMA???

    Umenena Mkuu. Kama una namba ya TiGO nipatie ili nikupunguzie salio.
  8. A

    Bunge kuwaka moto, Kambi Rasmi ya Upinzani Kufutwa?

    Ni kweli JokaKuu. Njia uliyopendekeza itaisaidia sana CHADEMA na wanahitaji kuwa na angalau vipindi maalum kila wiki angalau vipindi vitatu vya saa moja moja kwenye televisheni na redio.
  9. A

    Mh Freeman Mbowe, jiuzulu uwenyekiti wa chama

    Mbowe, ushauri wangu bado uko palepale. Ni muhimu sana ukajiuzulu umwenyekiti wa chama.
  10. A

    Maoni ya ulimwengu kuhusu katiba mpya

    Bahati mbaya sana watu hawamjui Ulimwengu vizuri. In short ni Msanii.
  11. A

    Kikwete Adai Suala la Katiba Mpya ilikuwa ni Mpango wa Serikali.

    Ni muhimu sana tukaendelea kumchambua na kumfikishia ujumbe.
  12. A

    Spika na Wabunge Wetu: Je Haya Mnayafahamu na Mnaridhika Nayo????

    Ni kweli pia suala la Afya nalo ni muhimu sana na niamini kuwa yote yanawezekana kuyatekeleza kwa pamoja. Tatizo viongozi wetu hawana dhamira na nia ya kuibadilisha na kuiendeleza nchi yetu. Jamani hali ya shule zetu inatisha kupita kiasi.
  13. A

    Kikwete ajisafisha Dowans

    Hakuna kurudi nyuma. Mnyika lazima aendelee na mpango wake.
  14. A

    Kikwete Adai Suala la Katiba Mpya ilikuwa ni Mpango wa Serikali.

    Je hiyo ni kweli? Maneno haya kayasema leo mjini Dodoma.
  15. A

    Spika na Wabunge Wetu: Je Haya Mnayafahamu na Mnaridhika Nayo????

    Ni muhimu sana kama taifa tukaelewa na kukubaliana kuwa njia bora zaidi ya kuifikia kila familia na kuisaidia kupambana na umaskini ni kwa kila familia kuipatia elimu bora hasa kupitia watoto wa familia husika.
  16. A

    Spika na Wabunge Wetu: Je Haya Mnayafahamu na Mnaridhika Nayo????

    Wiki ijayo Wabunge wetu wanaelekea Dodoma kwa ajili ya kikao chao cha kwanza baada ya uchaguzi mkuu. Wakati wabunge wetu wakielekea Dodoma je wanayafahamu haya 1. Kiwango cha fedha anacholipwa Mbunge mmoja kwa mwaka ni zaidi ya fedha ambayo Serikali inatoa kama ruzuku katika kuendesha zaidi ya...
  17. A

    Kikwete amezindua mpango wa "bare minimum" katika kufaulu Sekondari

    Ila tunakoelekea Serikali haina njia lazima ihakikishe vijana wetu wanasoma katika mazingira yanayokubalika, wanakuwa na walimu bora na wakutosha na pia wanafanya vizuri katika mitihani yao ya mwisho kuanzia shule za msingi.
  18. A

    Kikwete amezindua mpango wa "bare minimum" katika kufaulu Sekondari

    Inabidi wanasiasa wetu sasa wafikie hatua ya kuona aibu na wamuogope MUNGU. Ni muhimu sana hata kama kijana ataishia kidato cha nne awe amepata elimu iliyo bora.
Back
Top Bottom