Wakuu Umofia kwenu.
Wanahitajika vijana wawili wa kiume/kike,waaminifu na wachapa kazi kutoka eneo la Babati Mjini kuweza kufanya kazi ya kuuza mikopo kwa wateja wa babati mjini na vitongoji vyake.
Ukiwa wewe ni mdau wa mambo ya mikopo ukiwa ni Mkazi wa "BABATI MJINI" mwenye kiwango cha elimu...
Wakuu Umofia kwenu.
Wanahitajika vijana wawili wa kiume/kike,waaminifu na wachapa kazi kutoka eneo la Babati Mjini kuweza kufanya kazi ya kuuza mikopo kwa wateja wa babati mjini na vitongoji vyake.
Ukiwa wewe ni mdau wa mambo ya mikopo ukiwa ni Mkazi wa "BABATI MJINI" mwenye kiwango cha elimu...
Wakuu salamu kwenu.!!Naomba kujulishwa duka linalotoa huduma hii kwa dar-es-salaam niweze kurepair tv yangu iliyoungua screen....ukiweka na bei ya gharama zote mpaka tv itengamae nitakushukuru sana.
Nawasilisha.
Wakuu..salaam..
Kama kichwa cha habari kinavyo eleza hapo juu,!!baada ya kusafiri takribani week mbili na kuacha nimepaki gari yangu,nimerudi na kukuta battery ipo down kabisa hivyo kunilazimu kuitoa na kwenda kuichajisha kwa wachajishao.
Sasa katika harakati za kuirudisha nikachanganya...
Habarini za asubuhi wadau.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza;Kampuni ya mabasi ya Kilimanjaro inayotoa huduma zake za usafirishaji wa abiria na mizigo mikoa ya Dar,kilimanjaro, Arusha nawaonya muache ulimbukeni na kufikiri kuwa mmefika,kiburi na dharau kwa abiria siyo jambo jema kwa...
Wanabodi salaam,
Mimi ni baba wa familia mwenye mke na watoto wawili.Tunaishi vizuri mimi na familia yangu; mimi nikiwa mfanyakazi ofisi zetu zikiwa Dar na mke wangu akifanyia kazi Morogoro. Hivi karibuni tumepata jaribu kwenye familia yangu pale ambapo mke wangu amehamishiwa kikazi mkoani...
Wadau heshima kwenu!!Ninaishi kwenye nyumba ya kupanga,sasa usawa huu wa JPM unavyobana,nimekaa nikaumiza akili naona inaweza kufika kipindi nikakosa hata hela ya kodi maana mzunguko haueleweki....
Sasa nimekuja kwenu wadau msaidie kunipa ushauri juu ya hili wazo langu...Katka kufikiria...
Habarini za mchana wadau, natumai mpo salama mkiendelea kutimiza majukumu yenu ya kila siku. Niliwahi kuja na wazo biashara siku zilizopita. Biashara ya M-pesa, nashukuru kwani nilipata michango ya wadau wengi, ikieleza faida na hasara za hii biashara.
Mimi binafsi kutokana na michango...
Wadau habarini za asubuhi,
Ni jinsi gani ninaweza kufanya engage party ndogo nzuri,ambayo itahusisha ndugu wa pande zote (me&ke) na marafiki wachache bajeti yangu milioni moja na nusu am stranded.
Naombeni mchanganuo wadau maana shughuli ni mwezi ujao
Habarini wadau,
Hili linatokea mara ya pili baada ya ile ya kwanza kukuta kaisave namba ya huyo mpenzi wake wa zamani kwenye namba yake mpya ya simu baada ya kuiacha ile ya zamani nikiuliza naambiwa nimesave tu kutaka kujua jamaa anaendeleaje kupitia whatsapp profile yake, je wadau hii ni sawa...
Habari zenu wadau,
Multi maca inatokana na mmea unaoitwa lepidium meyenii kutoka nchi ya Peru na una historia zaidi ya miaka 2000,Nchini Peru mmea huu hutumika na watu kuanzia umri wa miaka mitatu na hutumika ili kuongeza stamina.
Multi maca ni vidonge vilivyotengenezwa kutoka kwa mmea huu na...
Wana MMU, bila shaka mko poa,
Mwenzenu ninataka kumuweka shemeji yenu ndani mwezi wa 12 mwaka huu, tumekubaliana harusi ya gharama ndogo ila sasa kijana wenu sijui makadirio ya harusi ndogo ya watu kama 80 ninatakiwa niandae kiasi gani, kuna swali huwa wanaulizwa mabwana harusi, una shilingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.