thebusdriverclassc
Senior Member
- Jan 16, 2014
- 146
- 66
Wakuu..salaam..
Kama kichwa cha habari kinavyo eleza hapo juu,!!baada ya kusafiri takribani week mbili na kuacha nimepaki gari yangu,nimerudi na kukuta battery ipo down kabisa hivyo kunilazimu kuitoa na kwenda kuichajisha kwa wachajishao.
Sasa katika harakati za kuirudisha nikachanganya terminal yaani + nikaweka - na -nikaweka +,ziliruka cheche nyingi hatari!!baada ya hapo nikagundua kosa langu then nikaifix vile inatakiwa...
Sasa issue ni kwamba gari imewaka lkn hakuna taa yoyote inayowaka zaidi ya zile za mbele kubwa...,mean hakuna Mwanga wowote kwenye dash board,parking light,sport light wala inside the car light inayowaka..
Wadau naomba mnijuze shida itakuwa ni fuse au nimeunguza nini nianze kuandaa kibunda kirefu cha fundi waya???
Natanguliza shukrani kwa wote mtaonisaidia katika hili.
Nawasilisha.
Kama kichwa cha habari kinavyo eleza hapo juu,!!baada ya kusafiri takribani week mbili na kuacha nimepaki gari yangu,nimerudi na kukuta battery ipo down kabisa hivyo kunilazimu kuitoa na kwenda kuichajisha kwa wachajishao.
Sasa katika harakati za kuirudisha nikachanganya terminal yaani + nikaweka - na -nikaweka +,ziliruka cheche nyingi hatari!!baada ya hapo nikagundua kosa langu then nikaifix vile inatakiwa...
Sasa issue ni kwamba gari imewaka lkn hakuna taa yoyote inayowaka zaidi ya zile za mbele kubwa...,mean hakuna Mwanga wowote kwenye dash board,parking light,sport light wala inside the car light inayowaka..
Wadau naomba mnijuze shida itakuwa ni fuse au nimeunguza nini nianze kuandaa kibunda kirefu cha fundi waya???
Natanguliza shukrani kwa wote mtaonisaidia katika hili.
Nawasilisha.