majibu mengi uliyopewa naona zaidi ni watu wasiokubali kuacha jambo lipite hata kama hajui lolote juu ya hilo ukweli nikwamba utapita salamaa 100% sababu kwanza hakuna mnyama hata mmoja asiyemuogopa binadamu ndio maana ukipita unakutana hata na waenda kwa miguu kimsingi moja ya majukumu ya...
hata naamini mbunge lazima aapishwe na spika ili kukamilisha ubunge wake baada ya kukabidhi cheti cha ushindi au kuteuliwa nnahisi kwakua ameteuliwa na raisi haizuii kuanza uwaziri kabla hajatekeleza wajibu wake bungeni yaani kua mbunge kamili baada ya kuapishwa sina hakika na majibu yangu ila...
hata tz tunazo ila ni kwa uchache nimepata kuziona hivyo ni wazi tunazo ingawa sio kwa wingi kama nchi jirani hasa Kenya zinatumika sanaa sijajua kwanini??
ukweli atashinda ingawa sio kwa kura nyiingi kama alivyozoea na ama kwa hakikaa atakua mmbunge tofauti kiukweli bahati aliyokua nayo ni aina ya mbunge wa ukawa anategemea kubebwa na chama zaidi hana uwezo mzuri kisiasa na hana ushawishi mkubwa pia kuna kachembe cha ukabila hapa ukizingatia...
nikama vilee baada ya kufa nyerere wenye akili pia sijui wamekufa?? ukimsikiliza hiyo ya kuyatafuta mabadiliko nje ya ccm sijaelewa alikua anawalenga wananchiiii au viongozi hasa ukijua wazi pia alisema kuna wa kuogopwa kama ukoma sijui ni haohao ???
kwa mujibu wa cm kadhaa nlizoshika hizo zinapatikana pale ktk box la kuandikia ujumbea alama ya kwanza kishoto click zinatoka chache chagua moja itakupa zinazofanana ujumbe sina hikika kama nimekuelewesha vzr
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.