habari kamili
Rekebisha kwenye sentensi ya "atagombea,,nadhani kilichoandikwa hapo yanaweza kuwa hata matusi.
nadhani kila raia yuko huru hiyo ndiyo demokrasia,ni haki yake.
Ila ajue huko anakoenda akikosa ndio mwisho wake
uo mfumo ni lini haukuwepo?
Ulikuwepo kabla na tunaugaragaza tartiiiiibu hatuna haraka.