Kuelekea Kumbukumbu ya kifo cha Mwl Julius K Nyerere na Uchaguzi Mkuu

The Businessman

JF-Expert Member
Jan 9, 2014
7,404
9,234
Amani iwe kwenu,

Tarehe 14 mwezi wa 10 ndio kumbukumbu rasmi ya kukumbuka kifo cha baba wa Taifa Hayati Mwl Julius K Nyerere.

Kumbukumbu hii imekuja wakati muafaka na sahihi kwani tupo kwenye kipindi cha Uchaguzi Mkuu utakaotupatia Rais, Wabunge na Madiwani.

Moja ya kauli ambayo aliwahi kuisema enzi za uhai wake na inavuma sana kwa wakati huu ni kuwa "....Watanzania wanataka mabadiliko, wasipoyapata ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM..".

Wewe unamkumbukaje?
 
Hiyo kauli mujarabu ya mabadiliko nje ya ccm ndiyo ninayoikumbuka sana mkuu.

Tanzania mpya inakuja...by askofu Gwajima
 
Amani iwe kwenu,

Tarehe 14 mwezi wa 10 ndio kumbukumbu rasmi ya kukumbuka kifo cha baba wa Taifa Hayati Mwl Julius K Nyerere.

Kumbukumbu hii imekuja wakati muafaka na sahihi kwani tupo kwenye kipindi cha Uchaguzi Mkuu utakaotupatia Rais, Wabunge na Madiwani.

Moja ya kauli ambayo aliwahi kuisema enzi za uhai wake na inavuma sana kwa wakati huu ni kuwa "....Watanzania wanataka mabadiliko, wasipoyapata ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM..".

Wewe unamkumbukaje?
Inabidi umalizie maneno yote kuwa "Rais bora atatoka CCM!"
 
Amani iwe kwenu,

Tarehe 14 mwezi wa 10 ndio kumbukumbu rasmi ya kukumbuka kifo cha baba wa Taifa Hayati Mwl Julius K Nyerere.

Kumbukumbu hii imekuja wakati muafaka na sahihi kwani tupo kwenye kipindi cha Uchaguzi Mkuu utakaotupatia Rais, Wabunge na Madiwani.

Moja ya kauli ambayo aliwahi kuisema enzi za uhai wake na inavuma sana kwa wakati huu ni kuwa "....Watanzania wanataka mabadiliko, wasipoyapata ndani ya CCM watayatafuta nje ya CCM..".

Wewe unamkumbukaje?

Imalizie hiyo kauli ya mwalimu
 
Kumbukumbu kama hizi tungeachana nazo..tuna mengi ya kufanya mbele yetu
 
Back
Top Bottom