Natumai sote tuko poa na salama, hakika Mungu ashukuriwe Kwa rehema na neema zake.
Japo nchi na raia wengi wamepokea taarifa za kujiuzulu Kwa speaker wa Bunge Kwa taharuki na mshangao. Lakini swali la kujuiliza hapa, je, nini kutafuta/nini maana ya hii move Kwa maana ya mihimili ya nchi...
Wasalamu Wana bodi natumai nyote mu wazima wa afya.
Naomba kutanguliza hayo maombo hapo juu Kwa unyenyekevu kabisa mbele za MUNGU Mwenyezi Kwa taifa letu na watu wake.
Maombi haya nayawasilisha mbele za MUNGU Kwa uchungu mkuu na toba,hii yote ni baada ya kufanya tathmini na kugundua kuwa...
Enyi mtandao wa halotel, network yenu leo haisomi kabisa. Shida ni nini au tatizo ni katelephone kangu.Au ndo maboresho ya vifurushi.
Naomba muongozo wenu katika hili.
Kwenu Halotel!!
Hakika mlianza vizuri sana Katika swala zima la huduma zenu, hasa kwa vifurushi vya internet kuwa vya bei nafuu na speed nzuri kabisaa.
Lakini siku za hivi karibuni hakika mnakera sana,speed ya vifurishi vyenu ya internet ni ndogo kupitiliza unakuta inapiga 0.0kbs/s kwa muda...
Salaam wana JF na kwenu TANESCO,
Mimi kama mteja wa hili Shirika napata tabu sana juu ya hizi luku mpya.Maana ninalazwa kwenye giza ili hali token numbers za kuwe kwenye mita ninazo.Tatizo ni kuwa button/vitufe vya mita yangu havifanyi kazi kwa ghafla tu tena bila sababu yoyote ile,ripoti...
Wasalam ndugu wana bodi,
Natumai miongoni mwetu humu ndani wako wabobezi wengi sana wa maswala ya mifumo ya computer.
Hivyo basi naomba kuwasilisha tatizo langua kwenu wataalam Wa maswala haya nikitegemea msaada wenu wa ushauri na hata utatuzi.
Ni kama miezi miwili sasa machine yangu (laptop)...
Salaam ndugu wana JamiiForums,
Naomba kuwasilisha kwenu maulizo yangu juu ya uwepo wa mjumbe yoyote humu ndani mwenye taarifa za kuitwa kwenye usaili kwa nafasi zilizo tangazwa siku kadhaa zilizopita na tume ya ushindani Tanzania (Fair Competition Commission Tanzania).
Nitashukuru sana kwa...
Salaam wadu wa humu jamvini.
Naomba kuwasilisha swali dogo kwenu nikiomba kupata updates kama kuna yeyote aliyeitwa kwa nafasi za T.A kitivo cha sheria.
Natanguliza shukran kwenu wanajamvi.
Habarini za Jumapili ndugu wana jamvi,natumai mu wazima wa afya tele!
Bila kupoteza wakati,napenda kuwashirikisha wazo langu(kipaji ambacho nimekikalia kwa muda sasa bila kukutumia kwa minajili ya kuniingizia walau kipato.Hii hasa ikichochewa na ukweli kwamba kwa sasa soko la ajira ni gumu...
Wasaaalam wanajamvi,natumai nyote mko salama salmin.
Naomba kuwasilisha ombi langu kwenu kwa yoyote mwenye vitabu mbalimbali(inspirational,philosophical,biographies,historical,novel) softcopy,anisaidie hata kwa link au site nzuri nitakayo weza download free(ukiachana na google book).Natanguliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.