Habari.....!
Nauza Taa za Video Production, 8 tube led light.
Dukani utaipata kuanzia 300,000.
Mimi nakupatia hii kwa 170,000.
0686279540
Dar es salaam.
Italian Relationship:
1st day= Sex
2nd day= Sex again.
French Relationship:
1st day = movies & kiss
2nd day = Sex
3rd day = Sex again
British Relationship:
1st day= hangout & kiss
2nd day = kiss & hug
3rd day= kissing, hug and smooching
4th day = sex and more sex
American Relationship:
1st...
AFTER SEX WHAT NEXT.
It's possible for any man to ask for sex in a relationship, but is left for you as a lady to know that sex, can't keep him..(Sex isn't enough)
There's a two major factors ladies complain about sex in a relationship:
(1) After giving him my body he left me..
(2)He left...
Habari,
Sidhani kama kuna binadamu ambaye haoti ndoto! Kwanini Ndoto nyingi tunazoota, ukitafuta Tafasiri za ndoto toka kwa watu wa kiroh zinakupa ujumbe tofauti na ulivyoota!
Mfano:
~ Utaota unagalagala kwenye kinyesi, tafsiri itasema utapata pesa nyingi karibu!
~ Utaota unapigana na vibaka...
Shalom!
Nataka tu kujifunza na kuongeza Imani yangu!
Nimekua nikishuhudia Watu wengi wakifunguliwa Makanisani kwa Macho yangu!
Nimeshuhudia Baadhi ya watu wakifunguliwa kwa namna tofauti, katika kisa kimoja, mwanaume wa Makamo alikua Mgonjwa akiamini Kalogwa, alihangaika kutafuta Tiba toka kwa...
Habari, madini tajwa hapo juu yanahitajika Sokoni Dar es salaam... kwa wingi...
tuma picha ya mzigo ulonao, sema na offer yako...
tuma picha kwa Whatsapp 0714417641...
Asante.
Wakuu!
Kuna mwanamke wa Kizungu nimetengeza Distance relationship na yeye, tuna miezi 3 sasa na juzi tumepanga ku meet next year mwezi wa 5,na hiyo ni Mimi kwenda Europe, Matarajio yetu ni kufunga ndoa, but nafikilia wanawake wa Kizungu sio mizinguo kama wanawake wa Kibongo?
Mliooa Wazungu...
Mtoto WA jirani yangu Ana dalili zote za kipindupindu, Now ndo tunampeleka hospital, naomba kujua zilipotengwa huduma kwa watu wenye kipindupindu kwa wilaya ya Kinondoni!
Kwa issue ya Katiba peke yake ilitosha kuwatosa ccm! Lakini kwa sababu Watanzania ni viumbe wa ajabu kuwahi kutokea hapa duniani, yani huipati dizaini hii hata Kenya, Zambia au South Africa, only in Tanzania! sitashangaa Magufuli akipata hata 40% wakati hakustahili.
Wakuu! Toka uchaguzi WA vyama vingi uanze Kura zetu Kama Watanzania hazijawahi kuwa Na thamani stahiki, mwaka huu ndo mwaka WA kuipa thamani Kura ya Mtanzania, tuwaondoe CCM tukiwaambia tunawaondoa kwa Sababu speed yenu imekua ndogo ukilinganisha Na rasilimali tulizonazo, tuwape nafasi Ukawa...
Vifaa vinavyouzwa Ni Dstv dish Na decoder yake, Dish la Azam Na decoder yake, tv 2 kubwa, mabenchi 20 ya kukalia, vyote vinauzwa kwa 1,200,000 Tu, vifaa vipo Dar es salaam, Kama uko interesting inbox me please!
Wadau kuna mtu ameniomba mmsaada wa kujua bei ya Dagaa wa Mwanza kwa hapa Dar kwa bei ya jumla kwa gunia, kama kuna anajua chochote kuhusu biashara hii, share nasi unachojua please...bei na masoko!
Habari Wadau!
Nasema hivi!....Hata kama Mbowe akijiondoa kesho Chadema, hata kama Mbatia na Mzee Makaidi wakajiondoa keshokutwa! yani nasema hiviiii! hata kama Lowassa akajiondoa kugombea kupitia Ukawa.
Ni bora nipigie kura Kinyesi kile kuliko kuipigia kura CCM, kama vijana hatuhitaji Serikali...
Wadau kwa mtu yeyote anayejua kama naingia Angola kupitia Zambia naweza kupata visa nikiwa Boda? inaweza cost kiasi gani kwa visa ya miezi 3? na wana accept Show money kiasi gani?
Wakuu nina mchongo ambao utakuwa na faida kwa kampuni, kwenu na kwangu. Kama kuna Marketing Officer yoyote toka kampuni tajwa au kampuni nyingine kubwa mni PM tafadhali, sometimes ni ngumu kuwapata maofisini kwenu, tunaweza tumia jukwaa hili kupeana madili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.