Heshima mbele wakuu wangu!
Naomba msaada kwenye hili.....hivi mtu anaposhtakiwa kwa kosa la kutakatisha pesa chafu.....maana yake nini? Pesa chafu ndio zilizopatikanaje? Shukran.....nasubiri majibu yenu.:baby:
Habari za mchana wana MMU! Mchana huu nimeshirikishwa jamba na kaka yangu (tunafanya kazi wote) ili nimshauri na mimi nikaona kabla sijamshauri chochote ngoja nipate mawazo ya wapendwa wangu hapa MMU, maana palipo na wengi hapaharibiki neno.
Alivyonisimulia ni kwamba, yeye enzi za ujana wake...
Wanajukwaa nawasalimu wote kwa heshima na taadhima. Mimi Ninaishi kwenye nyumba ya kupanga mahali fulani na baba na mama mwenye nyumba wanaishi hapo hapo. Sasa huyu baba mwenye nyumba anatabia ya kumpiga mke wake sana esp anapolewa. Hiyo tabia imekuwa ikiniudhi sana sana na nilishawahi kuongea...
Hivi kweli JF yote imejaa wapenzi wa mpira tuuuu.......hamna hata mtu anapenda tamthiliya? Mi napenda na huwa naangaliaga chache, ningependa kufahamu kama kuna mtu anayependa na angependa tuwe tunashirikiana kuelezana na kusimuliana...............Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.