Habari wana jf? Nipo katika ujenzi na kwasasa nahitaji kufunga gypsum board ndani ya nyumba, hivyo Naomba kujua namna ya kupatana na fundi Ghrama za kupiga blandering na kufunga bodi na mikanda yake katika nyumba. Nyumba ina ukubwa wa mita 12 kwa 10 na ina vyumba vitatu, sitting room, dinning...
Tangu mwaka huu uanze naona kama ma-DJ au watangazaji au waandaa vipindi radio one wameamua kutufanya sisi washabiki wao kama mazuzu. Kumekuwa na "mixing" kama nne ambazo kila siku zinatumika kutoa burudani kiasi mpaka sasa zimekuwa ni kero kwa wasikilizaji. Mara nyingi kuaanzia saa 2:15 hadi...
Tafadhari adimin wa group la watsapp la kipindi cha capital Fm cha Emily ( Bozouk Time) kila siku jioni saa 12 hadi saa 3 usiku, naomba link au namna ya kuungwa nipate kuchangia huko
Yule anaitwa killa mbongo, aliacha muzikinbaada ya kupata kansa ya koo kama ilivyokuwa kwa marapa wengi wanaogani kongo, baadae akabwia kwenye unga na kuwa teja. Kwa siku za hivi karibuni Extra Musica International wamejaribu kumrejesha stejini lakini sauti yake haijawa sawa kutokana na madawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.