Nilikuwa nimeegesha huko nje,Si unajua tena maisha yetu huku uswahilini tumebanana sana .
Nilipotoka nje nikamkuta mtoto wa jirani yangu ameshika msumari anachora bodi la haka kagari kangu ambako nimekanunua kwa shida kweli kweli. Moyo umeniuma.
Nimeshindwa nimfanye nini huyu mtoto maana ni...
Wakuu, ni jambo la kawaida sana kwa wapenzi au wanandoa kugombana au kuingia katika mgogoro kwa sababu yoyote ile. Migogoro katika mahusiano huleta msongo wa mawazo . Wengine kama hawatapata ushauri wa haraka huchukua maamuzi mabaya ya kujiua.
Uzi huu ni wa swali , kitu gani kinakupa faraja na...
Huku niliko hali si nzuri. Leo nimenunua mafuta ya Petrol shilingi 2550 kwa lita. Sijui huko uliko hali ikoje.
Ki-ujumla mambo ni magumu zile zama za kupanda baiskeli na punda naona zinaanza kurudi.
Naomba na mimi leo niseme kidogo.
Mda mfupi uliopita nilikuwa kwenye msiba wa jirani yangu .Kijana wake wa miaka kama 10 hivi alifariki dunia siku kama tatu zilizopita kwa ugojwa wa kansa.
Ghafla kundi la watu kama 20 hivi wanawake kwa wanaume wakafika akiwa wamevaa sare za chama cha MAPINDUZI...
Leo ni siku ya juma pili , naomba bila kujali dini zetu ,tusome kitabu cha MHUBIRI kuanzia sura ya kwanza hadi ya mwisho. Kitabu hiki siyo kirefu unaweza kukisoma kwa dk 45 ukakimaliza. Unaweza kusoma biblia ya kiswahili au kiingereza.
Nawaomba sana hasa wanasiasa wasome hiki kitabu. Kama taifa...
Hawa wenzetu sijui nani kawadanganya . Wao hujiona ni wa kipekee sana. Wakati mwingine hujiona wako juu ya sheria.
Liko tatizo kubwa sana kwa hawa jamaa. Nadhani umefika wakati sasa wa kupitia mitaala ya mafunzo yao.
Wengi wao ukiongea nao ni wa kawaida sana kichwani .Wengine ni weupe kabisa...
Nimeanza kuziona hizi gari sehemu kadhaa , vipi vipuri vyake vinapatikana?
Maduka yako sehemu gani , hapa DAR au Mwanza?
Mwisho vipi ubora wa hizi gari ,anayezijua aje atuambie , tumeanza kuchoka na Toyota sasa.
Ukipitia hii syllabus ni nzuri sana imejaa topics ambazo kama kweli zingefundishwa kwa vijana wetu, wengi wao wangemaliza elimu ya kidato cha nne wakiwa na maarifa ya kutosha kuweza kujitegemea na kujiajiri wenyewe.
Mfumo wetu wa elimu, unafundisha elimu ambayo ni traditional sana ,haina kabisa...
"Mimi sitaki mambo yenu ya siasa hayanisaidii kitu, niko bize na masomo yangu ya udaktari". Hii ni kauli ya kijana mmoja pale Muhimbili. Huyu ni mfu ingawa yuko hai. Hajui kuwa pamoja na usomi wake huu bado wanasiasa wajinga wasiojua hata kusoma na kuandika watakuja kumpangia mshahara wake na...
Mechi kati ya hivi vyama hasa katika chaguzi ndogo huwa ni tamu sana. Nakumbuka mechi ya Igunga , Busanda, Tarime , Arumeru nk zilikuwa mechi za kukata na shoka.
Uchaguzi huu mdogo timu moja imejitoa kwa kulalamikia mazingira ya mchezo kutokuwa mazuri , hii mechi imepoa kabisa .Hakuna tena...
Wadau sisikii habari zozote za uchaguzi huu. Mbona hauna msisimko tuliouzoea kwenye chaguzi ndogo kama hizi?.
Ni kimya kabisa. Watu wako bize na mambo mengine .
Nilishangaa sana juzi pale wale wasomeshaji walipolipuka kwa shangwe baada ya kupewa peremende.
Lakini sawa hata watoto ukiwaletea peremende huwa wanashangilia sana.
kazi njema wasomeshaji.
Nimesoma kila mahali na kuona kuna watu wanatamani sana upinzani ufe. Hapana hawa watakuwa hawajui dhana ya upinzani.
Upinzani siyo kikundi cha watu ambacho unaweza kukisambalatisha kwa mabomu kikasambaa. Upinzani siyo chama cha siasa ambacho unaweza kukifutia usajili wake au ukawanunua...
Watu weusi ni wanafiki sana, wanaweza kukushangilia sana leo na kukuita wewe ni masia uliyeletwa na MUNGU kwa kusudi maalumu.
Usije ukajidanganya ndugu yangu ukajaa kiburi na majivuno na kusema sina wasiwasi kwa sababu nina watu wengi wanaoniunga mkono.
Tena nataka nikuhakikishie hawa...
Kule Marekani binafsi nawapenda sana viongozi kutoka chama cha Democratic.Huwa nawaona kama viongozi welevu wenye mawazo wa kisasa yanayoenda na wakati.
Sasa kuna hawa jamaa wawili, CLINTON na OBAMA. Hawa viongozi siyo wa kawaida hasa wanapohutubia nawapenda sana. Kwanza muonekano wao ,jinsi...
Tunaomba wanaozijua hizi gari watuambie kwa nini bei yake iko chini sana?
Je, ni mbovu au hazina spea hapa Tz
Kama hazina shida bora tuhamie Honda maana hali ya uchumi inatisha kwa sasa.
Kuna model ya Toyota inaitwa ISIS , hizi gari ni nzuri hasa ukipata yenye cc1790 vvt-i utafaidi sana.
Mwendo upo , nafasi kubwa ndani na matumizi mazuri ya mafuta.
Nataka niagize Noah new model, lakini kuna jamaa kaniambia eti zinatumia injini ya D-4 na injini hizi watu wanazilalamikia sana. Je ni kweli Noah New modal inatumia D-4?
Hizi old model nasikia ni ngumu, ila muonekana wake siupendi ukilinganisha na New model.
karibuni watalaamu.
Sent...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.