[emoji23][emoji23] your not serious.. Siku wakibadilika ndo basi tena. Unakuta mtu alikua amefunga zipu yake lakini baada ya sijui kuamsha amasha"unakuta kila siku utapigwa matukio mpaka utatamani ile hali ya "uzoba".
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]from facebook(Livino Haule) [emoji116]
Enzi zetu darasani Sekondari unaulizwa "What are the major reasons for Tulia's suggestion to divide Mbeya Urban Constituency."
Majibu tungesema;
1. Lack of Legitimacy
2. Death of Mwendazake
3. Samia's...
Wakuu habari za asubuhi?
Rejea attachment mbili hapo chini. Mmoja inaonyesha video ya mfanyakazi wa Unilever Tea Tanzania( mufindi) akizuiliwa kuingia ofisini. Attachment ya pili inaelezea mkasa mzima.
My Take: Kumekua na unyanyasaji wa Wakenya dhidi ya wa Tanzania kwa muda mrefu sana. Tangu...
Asante sana mkuu.wengine wameishia kunita wakala..kitu kikubwa ambacho nimejifunza watanzania wengi hatusomi na tunapenda kujibu kihisia zaidi.Na kibaya ni kwamba hawataki kufanya study ya ndani zaidi kuhusu jambo jipya.Mfano watu wamekua wakiziponda network marketing sijui utapeli blah blah...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.