masandare
JF-Expert Member
- Mar 9, 2014
- 671
- 566
Akikupa jibu usisite kutushirikishs
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeona matangazo yao unapata mara mbili after 180days na uwekezaji ni kuanzia kuku 100 na nishilingi laki saba yaani 7000 kwa kifaranga kimoja My friend kaweka mzigo mwez wapili hapo namsubiri anipe majibu kaweka kama 2.8 milion
Sent using Jamii Forums mobile app