Mr. Kuku Farm ni aina mpya ya DESI?

Hahaha calm down..hiyo pesa ameiwekeza muda mrefu alianza na 7millon akawanairudisha mdogo mdogo.kwenye biashara(reinvestment in the project).mpaka..ikakua hadi 52 million.

Watu ambao sana comment negatively ni kwa sababu ya kutokua na uelewewa..na concept mpya ya crowd farming.

Crowd farming ni kuanzisha kilimo aidha cha matunda au ufugaji wa kuku au ngombe nk.lakini kwa kushirikisha wadau wa kawaida kama Mimi na wew ambao hatuna muda wa kusimamia ufugaji na pia uwezo binafsi wa kipesa ni mdogo kuanzisha biashara ya ufugaji.

According to google:Crowd farming is a model where a number of investors share risks and own shares in a farming venture.
The origins of the "crowd" concept can be traced to crowd sourcing where a large number of people are invited to participate in a project.

Aina hii ya kilimo...imeshika kasi sana Nigeria...
Huku Nigeria inaitwa crowd farming au online farming...(najua hili neno watu hawapendi kulisikia kilimo cha mtandao).Lakini ukijifunza kufatilia vitu kwa undani sidhani kama utakua ni mtu wa kupelekwa na mawambi ya watu..

Kuna makampuni mengi sana ambayo yanatumia huu mfumo.huko Nigeria na south Africa.Na pia hii concept bado ni ngeni sana kwahiyo watu wanakua negative kisa tu ni kitu kigeni...

Nimefatilia makampuni Mengi ambayo yanatumia mfumo huu.Na faida kwa wawekezaji ni kuanzia 10%-50%.
Baadhi ya makampuni ni yafutayo..(Nigeria)

1.thriveagric.com
2.farmcrowdy.com
3.farmkart.ng
4.porkmoney.com
5.efarms.com.ng/end
6.payfarmer.com
7.agropartnerships.co
8.tradersofafrica.com
9.farmfunded.com
10.ez-farming.com
11.menorahfarms.com
12.farmagric.com
13.farmbuddy.ng
14.groupfarma.com.ng
15.greenfoldfarmprojects.com
16.smartfarm.com.ng
investment cycles kwa nyingi naona ni kuanzia miezi 4 hadi 12.

Anyway nirudi kwa Mr Kuku anatumia the same mode of operation yaani crowd farming...investment cycle yake ni miezi 4 hadi 6.Na pia soko LA uhakika analo..(contract farming)unaingia mikataba awali ya kusupply kuku constantly kwa muda maluum ili mwishoni mwa huu muda ndo ulipwe malipo.(Hii Ina maana unahitaji capital kubwa sana ya kuweza kuendesha mradi bila kuaffect supply ya kuku.Meaning investors au crowd farmers that's where they come in)

Simple facts mt kuku farms
Ana kuku 90,000+
Ana chinja 3000+ every week

Kuhusu masoko ngoja nikupe scenario...
Acacia/barrick wanaotumia 2500-3000 chickens per week
American embassy/washirika 1000+ chickens per month
Geita gold mine wanahitaji 3000 chickens per week
Bado hizi hotel kubwa,na masupplier wadogo.. Wanaopelekea masokoni etc.


Advantages ziko hivi..
Mfano Mimi nimeajiriwa natoka kazini SAA mbili usiku nafanya kazi hadi jumapili.Muda wa kuanzisha na kusimamia mradi sina.Na hata ulisema mkopeshe MTU pesa mtaishia kugombana...

Kwahiyo pesa zangu ambazo nimesave naziwekeza huku kama investor.nakua kama vile nimenunua shares ambazo zitamature ndani ya muda Fulani.Kwahiyo nakua ufugaji unafanywa wa kuku unafanywa kwa niaba yangu.

Ni kama kununua shares kwenye kampuni LA cocacola au vodacom..wakutumia pesa yako kuendesha biashara mwishoni mwa muda Fulani aidha mwaka miezi sita au Tisa ukalipwa profits in form of dividends...

Mimi binafsi na kusanya pesa zangu naenda kuziweka huko...
By the way kama kuna mtu amesikia kuna crowd farming nyingine mbali na Mr kuku...please anijulishe....

Risks
Ofcoz just like any other business.. Kuna risks za kuconsider kabla hujaweka pesa yako huku kwenye hii miradi...Its your job to determine whether you can accept the risks or not.Kitalaam inaitwa Risk appetite. Is your risk appetite high or low..mfano Mimi am willing to risk 5 million..mwingine na risk 7million etc.

i Mr kuku farms hii concept yeye ndo kaintroduce Tanzania kwasasa hivi bado hajapata competition yoyote....naona kuna huyu jamaa mwingine anaitwa Weku enterprises....

Mwaka juzi kama sikosei kuna Tender mmoja ilitangazwa na US embassy au International school of Tanganyika walikua wanataka supplier mkubwa wa kuku at least 1000 per month na hawataki excuses...sio unaanza mwezi huu mara mwezi ujao una anza kuleta sababu mara sijui mtaji umekata nk.

Kwa kutumia crowd farming Mr kuku anaweza supply US embassy...

Pia kuna huyu jamaa wa south Africa anasema unanunua ngombe...na kumuhudumia mpaka anakua hadi kummuuza for a profit...livestock wealth.com

Kwahiyo jamani ndugu zangu tusipende kuhukumu vitu bila kufanya research...Tusipende kujibu kwa mihemko kwasabab tu uliwahi poteza fedha zako sijui ukaliwa pesa zako...



TUJIFUNZE KUSOMA NA KUFATILIA VITU KIUNDANI KABLA HATUJA KATISHA TAMAA WATU.TUKIENDELEA HIVI KILA SIKU TUTABAKI NYUMA SIKU ZOTE.






Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu zangu naomba niandike kwa herufi kubwa, HUYU JAMAA NI WAKALA WAO KUWEKENI MAKINI!

Kama mnapitia thread kuhusu FOREX, QNET na nyinginezo huwa ni watu hodari sana katika kikanusha na kutetea utapeli, huwa na maandiko yao ambayo huyatayarisha na kupaste popote ambapo watu huwa na wasiwasi na utapeli wanaoufanya.

Mara zote hushinda katika mitandao yote na kujaribu kujitangaza, kujisafisha na kuhalalisha utapeli wao.

WADAU KUWENI MAKINI, KWAO FURSA NI WEWE!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuku kaja kidonyole
Kwanza kulikuwa hakuna haja ya huu uzi kwa sababu umeshatoa hukumu tayari kwenye kichwa cha uzi ila unatafuta watu wa kuja kujumuika nao muwakatishe tamaa wengine

Pili wewe sio muwekezaji unapendeza zaidi ukiwa umeajiriwa kwa sababu unaonekana una woga mwingi kupita kiasi kitu ambacho hakitakiwa katika uwekezaji

Mkiletewa fursa za kilimo mnasema hakuna uhalisia ni kilimo cha instagram, ufugaji nao hamuutaki, biashara mnaleta vitisho kwamba hakuna mzunguko wa hela, mkiletewa fursa za mitandaoni mara kina ontario.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnapenda kukurupuka (usione kichaka basi unataka ukanye) we jambo umeliona tu bila kulifanyia uchunguzi unalikimbiza hapa jukwaani ili uonekane mwerevu je umeshawahi enda ofisini kwao ukapata japo mawili matatu kabla hujaja kulia lia hapa ....

Sent using Jamii Forums mobile app
Yupo kwenye uchunguzi sijaona kosa lake. Jf ni pana, Kama ni biashara genuine itajulikana hapa. Mr.kuku ashukuru ametangaziwa biashara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha calm down..hiyo pesa ameiwekeza muda mrefu alianza na 7millon akawanairudisha mdogo mdogo.kwenye biashara(reinvestment in the project).mpaka..ikakua hadi 52 million.

Watu ambao sana comment negatively ni kwa sababu ya kutokua na uelewewa..na concept mpya ya crowd farming.

Crowd farming ni kuanzisha kilimo aidha cha matunda au ufugaji wa kuku au ngombe nk.lakini kwa kushirikisha wadau wa kawaida kama Mimi na wew ambao hatuna muda wa kusimamia ufugaji na pia uwezo binafsi wa kipesa ni mdogo kuanzisha biashara ya ufugaji.

According to google:Crowd farming is a model where a number of investors share risks and own shares in a farming venture.
The origins of the "crowd" concept can be traced to crowd sourcing where a large number of people are invited to participate in a project.

Aina hii ya kilimo...imeshika kasi sana Nigeria...
Huku Nigeria inaitwa crowd farming au online farming...(najua hili neno watu hawapendi kulisikia kilimo cha mtandao).Lakini ukijifunza kufatilia vitu kwa undani sidhani kama utakua ni mtu wa kupelekwa na mawambi ya watu..

Kuna makampuni mengi sana ambayo yanatumia huu mfumo.huko Nigeria na south Africa.Na pia hii concept bado ni ngeni sana kwahiyo watu wanakua negative kisa tu ni kitu kigeni...

Nimefatilia makampuni Mengi ambayo yanatumia mfumo huu.Na faida kwa wawekezaji ni kuanzia 10%-50%.
Baadhi ya makampuni ni yafutayo..(Nigeria)

1.thriveagric.com
2.farmcrowdy.com
3.farmkart.ng
4.porkmoney.com
5.efarms.com.ng/end
6.payfarmer.com
7.agropartnerships.co
8.tradersofafrica.com
9.farmfunded.com
10.ez-farming.com
11.menorahfarms.com
12.farmagric.com
13.farmbuddy.ng
14.groupfarma.com.ng
15.greenfoldfarmprojects.com
16.smartfarm.com.ng
investment cycles kwa nyingi naona ni kuanzia miezi 4 hadi 12.

Anyway nirudi kwa Mr Kuku anatumia the same mode of operation yaani crowd farming...investment cycle yake ni miezi 4 hadi 6.Na pia soko LA uhakika analo..(contract farming)unaingia mikataba awali ya kusupply kuku constantly kwa muda maluum ili mwishoni mwa huu muda ndo ulipwe malipo.(Hii Ina maana unahitaji capital kubwa sana ya kuweza kuendesha mradi bila kuaffect supply ya kuku.Meaning investors au crowd farmers that's where they come in)

Simple facts mt kuku farms
Ana kuku 90,000+
Ana chinja 3000+ every week

Kuhusu masoko ngoja nikupe scenario...
Acacia/barrick wanaotumia 2500-3000 chickens per week
American embassy/washirika 1000+ chickens per month
Geita gold mine wanahitaji 3000 chickens per week
Bado hizi hotel kubwa,na masupplier wadogo.. Wanaopelekea masokoni etc.


Advantages ziko hivi..
Mfano Mimi nimeajiriwa natoka kazini SAA mbili usiku nafanya kazi hadi jumapili.Muda wa kuanzisha na kusimamia mradi sina.Na hata ulisema mkopeshe MTU pesa mtaishia kugombana...

Kwahiyo pesa zangu ambazo nimesave naziwekeza huku kama investor.nakua kama vile nimenunua shares ambazo zitamature ndani ya muda Fulani.Kwahiyo nakua ufugaji unafanywa wa kuku unafanywa kwa niaba yangu.

Ni kama kununua shares kwenye kampuni LA cocacola au vodacom..wakutumia pesa yako kuendesha biashara mwishoni mwa muda Fulani aidha mwaka miezi sita au Tisa ukalipwa profits in form of dividends...

Mimi binafsi na kusanya pesa zangu naenda kuziweka huko...
By the way kama kuna mtu amesikia kuna crowd farming nyingine mbali na Mr kuku...please anijulishe....

Risks
Ofcoz just like any other business.. Kuna risks za kuconsider kabla hujaweka pesa yako huku kwenye hii miradi...Its your job to determine whether you can accept the risks or not.Kitalaam inaitwa Risk appetite. Is your risk appetite high or low..mfano Mimi am willing to risk 5 million..mwingine na risk 7million etc.

i Mr kuku farms hii concept yeye ndo kaintroduce Tanzania kwasasa hivi bado hajapata competition yoyote....naona kuna huyu jamaa mwingine anaitwa Weku enterprises....

Mwaka juzi kama sikosei kuna Tender mmoja ilitangazwa na US embassy au International school of Tanganyika walikua wanataka supplier mkubwa wa kuku at least 1000 per month na hawataki excuses...sio unaanza mwezi huu mara mwezi ujao una anza kuleta sababu mara sijui mtaji umekata nk.

Kwa kutumia crowd farming Mr kuku anaweza supply US embassy...

Pia kuna huyu jamaa wa south Africa anasema unanunua ngombe...na kumuhudumia mpaka anakua hadi kummuuza for a profit...livestock wealth.com

Kwahiyo jamani ndugu zangu tusipende kuhukumu vitu bila kufanya research...Tusipende kujibu kwa mihemko kwasabab tu uliwahi poteza fedha zako sijui ukaliwa pesa zako...



TUJIFUNZE KUSOMA NA KUFATILIA VITU KIUNDANI KABLA HATUJA KATISHA TAMAA WATU.TUKIENDELEA HIVI KILA SIKU TUTABAKI NYUMA SIKU ZOTE.






Sent using Jamii Forums mobile app
Bora wewe umetueleza kisomi zaidi. Thanks

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jamaa wanaitwa Mr Kuku Farms, wanasema wanafanya ufugaji wa kuku na wanahkmiza watu kuwekeza kwa ahadi kwamba unavuna mara 2.

Nimeona wamepost na shuhuda mbalimbali motomoto kama zile za kwa mwamposa. Mmoja anasema aliwekeza sh laki 3.5 na anategemea kuvuna 8M.

Swali nalo jiuliza kwanini iwe rahisi kupata fedha kiasi hiki kwa muda mfupi kuliko bank yeyote au soko la hisa?

Napata wasiwasi isije kuwa ni DESI imerudi kiani maana huwezi pata mara 2 kirahisi hivi wakati kuna makampuni yanafuga kuku nanyanapata hasara.

Naomba kwa yeyote anaye jua hawa Mr kukus ni wafugaji kweli wa kuku?

Je, kama kuna mtu amesha fanya nao uwekezaji , atupe ushuhuda wake motomoto?

Je, kwanini kama ni biashara ya uwekezaji wasifanyie soko la hisa DSE?

Serikali ipo wapi kutoa ufafanuzi wa jambo hili walau watu tufuse million kwa myda mfupi.

Kwa wale ambao mnataka kuona shuhuda motomoto tembelea instagram Mr_kukus

Nataka nijitose kwa kuwekeza mil 2 ili zikisha komaa nihune kama mil 80 ndani ya miaka 2.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usiihusishe serikali, ipo na itaingili utakapo lalamika, japo tayari utakuwa umeumia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante sana mkuu.wengine wameishia kunita wakala..kitu kikubwa ambacho nimejifunza watanzania wengi hatusomi na tunapenda kujibu kihisia zaidi.Na kibaya ni kwamba hawataki kufanya study ya ndani zaidi kuhusu jambo jipya.Mfano watu wamekua wakiziponda network marketing sijui utapeli blah blah lakini makampuni yapo na yanaendelea kufanya kazi mengine hana miaka zaidi ya kumi yanafanya kazi.

Na kumbuka pia wakati mfumo mpya kutuma pesa kwa mpesa watu walikua wanapinga sana tena sana wakisema sijui pesa zitaibiwa ni bora nitumie Benki kutuma pesa.

Humu hadi Leo kuna watu wana amini kua kununua vitu online ni utapeli blah blah....

Kwahiyo ukitaka kufanya mamuzi ya kufanya investing au kitu chako ni bora uende uende legitimate sites kufanya research yako ya bidhaa na aina biashara.mfano watu wamekalili kua ukitaka kununua shares lazima tufanye floating of shares on capital markets kama dar es salaam stock exchange lakini wanasahau kua kina venture capital funds...ambazo ni vikundi vya watu ambavyo wana pool funds together na kuinvest kwenye biashara at certain amount of risk.(kama unavyo fahamu kila biashara ina risks zake).

Tanzania Bahat mbaya hatuna venture capital firms kwahiyo unakuta biashara hizi za enterprise zikiwa changa akitaka kupanuka inabidi aje kwa watu...individuals... Ili aweze pata funds za kuikuza biashara iwe kubwa ofcoz akiwa promise investors good returns...

Kwasababu eventually atakuja kustop kupokea individual investments..Maana hapo atakua amefanya projection zake zimekamilika biashara itaanza kuchanganya....

Nimekua nikimfatilia Mr kuku yangu 2017 alipo anza..na alipoalika watu Mara ya kwanza.mabanda yalikua local sana..na future wasn't bright.Lakini kuna watu waliamini ile biashara kua itakua...kwahiyo kina watu waliwekeza pesa kule mabanda yakajengwa etc 2017 Leo hii ndo wanaocheka all the way to the bank na kumbuka wapi waliosema kua pesa zenu zitapigwa sijui blah .sasa hivi mradi ile umekua sana I I think its worth billions..

Nimesema haya sio kwa kumshwishi mtu ila aende akafanye research yake....

Kina huyu jamaa wa south Africa anipango wa kua na ranch za ngombe Africa nzima.na mfumo ni huu huu..ukienda kwenye site take wealthlivestock.com.Yaani anasema unaweza ukawa unafuga ngombe bila kua shamban huku ukiendelea na kazi zako mjini popote duniani.na unawekeza pesa baada ya muda unavuna faida.wao watashugulika na kumkuza kumlisha hadi marketing....

ILA KWASABABU NI KITU KIGENI WATU WATAISHIA KUSEMA NI UTAPELI HAIWEZEKAN UFUGE NGOMBE NA WAKULETE FAIDA MARA DUFU NGOMBE HAO WAKIWA NJE YA INCHI.

Yaani kina disruptive concepts nyingi sana zitakuja ambazo zitabadilisha vitu vingi sana huko mbele kuna watu watachwa nyuma na kuna wengine watasonga mbele...
Bora wewe umetueleza kisomi zaidi. Thanks

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante sana mkuu.wengine wameishia kunita wakala..kitu kikubwa ambacho nimejifunza watanzania wengi hatusomi na tunapenda kujibu kihisia zaidi.Na kibaya ni kwamba hawataki kufanya study ya ndani zaidi kuhusu jambo jipya.Mfano watu wamekua wakiziponda network marketing sijui utapeli blah blah lakini makampuni yapo na yanaendelea kufanya kazi mengine hana miaka zaidi ya kumi yanafanya kazi.

Na kumbuka pia wakati mfumo mpya kutuma pesa kwa mpesa watu walikua wanapinga sana tena sana wakisema sijui pesa zitaibiwa ni bora nitumie Benki kutuma pesa.

Humu hadi Leo kuna watu wana amini kua kununua vitu online ni utapeli blah blah....

Kwahiyo ukitaka kufanya mamuzi ya kufanya investing au kitu chako ni bora uende uende legitimate sites kufanya research yako ya bidhaa na aina biashara.mfano watu wamekalili kua ukitaka kununua shares lazima tufanye floating of shares on capital markets kama dar es salaam stock exchange lakini wanasahau kua kina venture capital funds...ambazo ni vikundi vya watu ambavyo wana pool funds together na kuinvest kwenye biashara at certain amount of risk.(kama unavyo fahamu kila biashara ina risks zake).

Tanzania Bahat mbaya hatuna venture capital firms kwahiyo unakuta biashara hizi za enterprise zikiwa changa akitaka kupanuka inabidi aje kwa watu...individuals... Ili aweze pata funds za kuikuza biashara iwe kubwa ofcoz akiwa promise investors good returns...

Kwasababu eventually atakuja kustop kupokea individual investments..Maana hapo atakua amefanya projection zake zimekamilika biashara itaanza kuchanganya....

Nimekua nikimfatilia Mr kuku yangu 2017 alipo anza..na alipoalika watu Mara ya kwanza.mabanda yalikua local sana..na future wasn't bright.Lakini kuna watu waliamini ile biashara kua itakua...kwahiyo kina watu waliwekeza pesa kule mabanda yakajengwa etc 2017 Leo hii ndo wanaocheka all the way to the bank na kumbuka wapi waliosema kua pesa zenu zitapigwa sijui blah .sasa hivi mradi ile umekua sana I I think its worth billions..

Nimesema haya sio kwa kumshwishi mtu ila aende akafanye research yake....

Kina huyu jamaa wa south Africa anipango wa kua na ranch za ngombe Africa nzima.na mfumo ni huu huu..ukienda kwenye site take wealthlivestock.com.Yaani anasema unaweza ukawa unafuga ngombe bila kua shamban huku ukiendelea na kazi zako mjini popote duniani.na unawekeza pesa baada ya muda unavuna faida.wao watashugulika na kumkuza kumlisha hadi marketing....

ILA KWASABABU NI KITU KIGENI WATU WATAISHIA KUSEMA NI UTAPELI HAIWEZEKAN UFUGE NGOMBE NA WAKULETE FAIDA MARA DUFU NGOMBE HAO WAKIWA NJE YA INCHI.

Yaani kina disruptive concepts nyingi sana zitakuja ambazo zitabadilisha vitu vingi sana huko mbele kuna watu watachwa nyuma na kuna wengine watasonga mbele...

Sent using Jamii Forums mobile app
Maelezo mazuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom