Kuvimba kichwa, ati yeye akitamba kuwa Dr wa Uchumi.Waziri Wa fedha Wa hovyo kuwahi kutokea nchini kwetu
Mkuu najua maamuzi ni ya Samia, tatizo la Mwigulu ni lugha mbovu na kiburiMwigulu ndiye rais wa nchi hii? Anayeweza akafanya lolote pasipo ridhaa ya rais?
Kweli mkuu inabidi afanye hivyo kwenye press releaseMwigulu anatakiwa kuja na maelezo ya kutosha, kila mwezi wanakusanya tozo kiasi gani na zinakwenda wapi kufanya nini.
Haya mambo sensitive anayaendesha kimazoea sana, yanaharibu taswira yake binafsi hasa ikizingatiwa timu ya mpira wa miguu anayohusishwa nayo, na yale mabasi yaliyoingizwa nchini, na asijidanganye kwa yale majibu yake ya kitoto aliyowahi kuyatoa.
Itabidi atangulie ...Mkuu najua maamuzi ni ya Samia, tatizo la Mwigulu ni lugha mbovu na kiburi
mwulize shaka atakujibu.Mwigulu ndiye rais wa nchi hii? Anayeweza akafanya lolote pasipo ridhaa ya rais?