acheni uzandiki nendeni mkamuchunguze,munataka ajichunguze mwenyewe au sisi ndani ya chadema ndio tumuchunguze hawezi kua mtuhumiwa na hakimu at the same time
mbowe na familia yake ni wafanya biashara wa siku nyingi na kila mtanzania anajua hilo ,isipokua maccm bongo lala
kama munawasi wasi naye nendeni mkamuchunguze muumbuke wenyewe .kuhusu mafisadi mulioficha pesa ulaya hamuta salimika msitumie issue ya mbowe kua na nyumba dubai kutuondoa kwenye...
watu wako hopeless kweli yaani wanakushauri umuludishie nyumbani,hapana umuludishie
mpeleke kwa mzee wa upako au kwa kakobe akaombwe
issue yako mbona ndogo sana
Sisi tuna mupigia upatu Dr slaa ndiye candidate wetu wa rais 2O15.CCM tunaomba mutupe jina moja tu la mtu munaye ona anafaa kua rais kutoka chama chenu musitupe majina mengi tunaomba jina moja tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.