Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
- Thread starter
- #41
Atasema nini na ishu ni kweli? Kwa sasa she needs to fix her domestic affairs maana kumbuka ana mume ambae nae kaja juu.sasa Rachel Shebesh kasemaje?
no statement yet?
Atasema nini na ishu ni kweli? Kwa sasa she needs to fix her domestic affairs maana kumbuka Ana mime ambae nae kaja juu.
sorry naomba ni sahihishe shebesh sio mbunge ni mwakishi wa wanawake jimbo la Nairobi (Nairobi women representative)
Atasema nini na ishu ni kweli? Kwa sasa she needs to fix her domestic affairs maana kumbuka ana mume ambae nae kaja juu.
Kwani representatives siyo wabunge? Kama siyo, wabunge wa Kenya ni wepi sasa? Ni senators?
Kwenye bicameral legislature hakuna wabunge? Au ni matter of semantics tu?
Kaka maswala ya siasa za Kenya ni tofauti sana na hapa tz hawa jamaa wana wabunge, senators,Women representative ,governors,counsellors n.k
Muhuni kama Sugu!
unaulizia ibilisi jehanam, wakati ndio kwao!! chezeiya watu na fani zao weye!
Vp mkuu wa kaya hakupona pia hapa?
Naomba nitajie jina la bunge/wabunge wa Kenya kwa Kiingereza, tafadhali.
Shebesh ndiyo nani Kenya?
members of parliament (MPs)