Siipendi CHADEMA

Si kila mwenye macho anaona na si kila mwenye masikio anasikia. watu wengine ni colour blind anaweza sema chungwa lina rangi ya blue. sikushangai.
 
nimeongeza na siku za kuishi baada ya kuusoma uzi huu...

big up sana mleta uzi.ila swali langu la kizushi kwako ni kwamba hivi umeona hata watoto wa baba mmoja wanavyojichanganya? wamezoee kukariri,1+1 = 2 ukiwabadilishia tu umewatoa kwenye mstari.kabla hatufafikiri kuikomboa tanzania na mali zake ni lazima akili na mawazo yetu yajikite kuzikomboa fikra zao kwanza

KAZI KWELI KWELI
 
Napenda cdm lakini sipendi mzee wa dhifa

"To know the enemy is half the victory"
 
Narudia tena SIIPENDI CHADEMA na sitakuja kuipenda CHADEMA kama haitajirekebisha.
Nasema hivyo kutokana na sababu zifuatazo.

1. CHADEMA imekua inaongoza nchi kinyume na taratibu. Tunajua kwamba kwenye uchaguzi mkuu uliopita CCM "ilishinda" uchaguzi huo na kua na "haki" ya kuongoza serikali na vyombo vyote vya usalama.

Lakini kwa masikitiko makubwa CHADEMA wamejitwalia jukumu hilo bila kufuata sheria na taratibu za nchi hii.

Mfano ni pale CHADEMA inapotumia polisi kuwadhuru wananchi na kuwapiga mabomu wananchi kwa kutumia polisi.

2. CHADEMA kutumia mabavu kuliongoza BUNGE ambapo kisheria ilibidi bunge liongozwe na CCM yenye wabunge wengi, speaker,naibu speaker na wenyeviti wa bunge kutoka CCM.

Hii inajidhihirisha pale ambapo CHADEMA wamekua kimbelembele kutetea maslahi ya wananchi wakati hii kazi ilibidi ifanywe na CCM yenye wabunge wengi+serikali. Huu ni uporaji wa haki ya msingi unaofanywa na chadema kwa wabunge wa ccm.

3. CHADEMA kwa makusudi kabisa imekua ikiwachonganisha wananchi na serikali yao tukufu ya CCM.
Kitendo cha chadema kufichua maovu ya CCM na kuyaweka wazi kwa wananchi ni uchonganishi mkubwa na unawafanya wananchi kutoipenda serikali yao "halali" iliyopo madarakani.
Mfano mzuri ni list of shame, KAGODA, MEREMETA, DEEP GREEN e.t.c

4. Kitendo kiovu kinachofanywa na CHADEMA kuilazimisha CCM kuacha sera zake na kutekeleza sera mbaya za CHADEMA ni kitendo ambacho hakivumiliki na kinafaa kupingwa na wananchi wote. Wanancchi tumekiamini chama chetu tukufu ccm na tukakipa "kula" za kutosha ili kiingie madarakani na kutekeleza sera zake ilizokua inazinadi majukwaani. Matokeo yake CHADEMA imefanya hila na michezo michafu ya kisiasa na kuilazimisha CCM kutekeleza sera za CHADEMA.

5. CHADEMA imeiweka nchi rehani kwa kulazimisha USALAMA WA TAIFA kuripoti kwake badala ya kuripoti kwa serikali tukufu ya CCM.
Huu ni uhaini na wapenda haki wote inabidi tupaze sauti kukemea hili suala.
Haiwezekani wanausalama watiifu wafanye mauaji yanayofuata sheria halafu wale wanausalama wasiofuata maadili wakapeleka taarifa chadema. Hii sio sawa kabisa, kunaiweka nchi yetu kwenye hatari kubwa sana.

Naomba niishie hapa ila natoa rai kwa watu wote wenye uzalendo na nchi hii kuipiga vita CHADEMA kwa nguvu zote.

ni watu wachache wenye akil wanaweza kukuelewa hapa unazungumzia nin...ni fasihi na kipengele ulichotumia kinaitwa sarcasm au irony pia hufanya kaz hiyo
 
nimeongeza na siku za kuishi baada ya kuusoma uzi huu...

big up sana mleta uzi.ila swali langu la kizushi kwako ni kwamba hivi umeona hata watoto wa baba mmoja wanavyojichanganya? wamezoee kukariri,1+1 = 2 ukiwabadilishia tu umewatoa kwenye mstari.kabla hatufafikiri kuikomboa tanzania na mali zake ni lazima akili na mawazo yetu yajikite kuzikomboa fikra zao kwanza

KAZI KWELI KWELI

Well said...
 
Wapo baadhi ya watu wanaonitumia meseji na hata wengine kudiriki kunipigia simu wakiniambia kuwa eti thread zangu na post zangu humu JF zinaonyesha kuwa naipenda chadema.

Naomba wanijibu maswali yafuatayo..?

Naomba waniambie nakipenda vipi chama kilichoanzishwa kwenye kikao cha familia..?

Nakipendaji chama cha mamangimeza wanaojali maslahi yao binafsi na ya wachumba wao.?

Nakipendaje chama ambacho mtu mmoja ana nguvu ya maamuzi kuliko kikao na maamuzi ya kamati kuu..?

Nakipendaje chama kinachomwagia wenzao tindikali nakuteka na kudhuru waandishi wa habari..?

Nakipendaje chama ambacho viongozi wake wanawekeana sumu na wengine wanafitiniana kila uchao..?

Nakipendaje chama ambacho kinatumia damu za watanzania kama mtaji wao wa kisiasa..?

Nakipendaje chama kinachoshutumiwa kumuua mwanasiasa mwenzao chacha..?

Nakipendaje chama ambacho hawara wa kiongozi ana maamuzi kuliko kiongozi mkuu wa chama hiko..?

Naanzaje kuipenda chadema..? Niambie naanzaje..?

Msijisumbue kuniletea ushawishi wa aina yeyote "nitaleta meseji zenu hapa" za kunibembeleza lakini naomba niwaambie jambo moja tu. MWEREVU AUMWI NA NYOKA WA SHIMO MOJA MARA MBILI.
Kalagabao..!!!
 
Hadija kopa huko wapi njoo huku kuna kipaji kipya cha mipasho kinajiuza ukiweke kwenye bendi kitakusaidia.
 
Wapo baadhi ya watu
wanaonitumia meseji na hata wengine kudiriki kunipigia simu wakiniambia
kuwa eti thread zangu na post zangu humu JF zinaonyesha kuwa naipenda
chadema.

Acha kujikosha hakuna mtu ana shida na mamuluki, mzandiki na panya kama wewe, baki huko huko kwenye ukoo wenu wa panya !
 
Juliana Shonza

HATA MIMI silipendi li ccm lichama linaloua nguvu kazi ya taifa vijana kwa mabwibwi hakuna hata mtu mmoja anayeweza kukutumia meseji ya wewe kurudi chama makini labda za kukubembeleza kwa kuwa wewe ni KUKU MTAMU
 
Last edited by a moderator:
Tangu Enzi Kikao cha kwanza cha kuanzisha kitu chochote kinaanza kama familia mfaano akina Rupia, Sykes, Mtemvu mpaka leo watoto wao ni viongozi wa kisiasa maji hufuata mkondo

meneno haya umeyasema tangu 2011 matokeo yake kanda kumi zimezaliwawewe ukiwa ukiimba melody iliyobuma mimba kama inakusumbua kula pilipili

Ndivyo ulivotaka ufanye ukiwa bavicha lakini wakulegezea mtindi ukaanguka matokeo yake unarudia maneno uliyosema mara 10,000

Mwigulu boyfriend wako kathibitishiwa na mahakama kwamba tindikali inamwagwa na wana CCM,

Ukiwa mfuasi wa mwenyekiti wa chama chako zungu la unga,katibu wako mkuu jangiri la meno ya tembo naibu katibu mkuu mrusha mabomu ya kichina na wewe mchawi wa kisiasa inakuwa hoya

Ramadhani Inghondu mnyofoa kucha za watu na mchomoa meno yupo IKULU

Kolimba amekolibwa na MACCM ndio mchezo wao Malima kanyamazishwa Nyerere mwenyewe kafanyiziwa na MACCM

Kama unavyozurura na mume wa mtu mpaka kakutungika mimba

wewe ni makapi
 
Tangu Enzi Kikao cha kwanza
cha kuanzisha kitu chochote kinaanza kama familia mfaano akina Rupia,
Sykes, Mtemvu mpaka leo watoto wao ni viongozi wa kisiasa maji hufuata
mkondo

meneno haya umeyasema tangu 2011 matokeo yake kanda kumi
zimezaliwawewe ukiwa ukiimba melody iliyobuma mimba kama inakusumbua
kula pilipili

Ndivyo ulivotaka ufanye ukiwa bavicha lakini wakulegezea mtindi
ukaanguka matokeo yake unarudia maneno uliyosema mara 10,000

Mwigulu boyfriend wako kathibitishiwa na mahakama kwamba tindikali
inamwagwa na wana CCM,

Ukiwa mfuasi wa mwenyekiti wa chama chako zungu la unga,katibu wako mkuu
jangiri la meno ya tembo naibu katibu mkuu mrusha mabomu ya kichina na
wewe mchawi wa kisiasa inakuwa hoya

Ramadhani Inghondu mnyofoa kucha za watu na mchomoa meno yupo IKULU

Kolimba amekolibwa na MACCM ndio mchezo wao Malima kanyamazishwa
Nyerere mwenyewe kafanyiziwa na MACCM

Kama unavyozurura na mume wa mtu mpaka kakutungika mimba

wewe ni makapi

kumbe ni kiburudisho cha mwigulu ana bahati sana labda mwigulu atamtoa
lakini tuongee pole pole mke wa mwigulu asije akasikia !
 
maccm wote Mungu amewanyima busara eti siipendi chadema kuna ayekuuliza wewe chama gani tufike mahali vijana tuache kupoteza muda kwa kutumika kama kondomu aibu sana mwigulu anatembea na kijana aliyekutuma ukamwagia tindikali mbona husemi angekuwa mtu mwenye mwema angempeleka kutibiwa kwanza maccm wote wa akili kama za kuku .
 
Narudia tena SIIPENDI CHADEMA na sitakuja kuipenda CHADEMA kama haitajirekebisha.
Nasema hivyo kutokana na sababu zifuatazo.

1. CHADEMA imekua inaongoza nchi kinyume na taratibu. Tunajua kwamba kwenye uchaguzi mkuu uliopita CCM "ilishinda" uchaguzi huo na kua na "haki" ya kuongoza serikali na vyombo vyote vya usalama.

Lakini kwa masikitiko makubwa CHADEMA wamejitwalia jukumu hilo bila kufuata sheria na taratibu za nchi hii.

Mfano ni pale CHADEMA inapotumia polisi kuwadhuru wananchi na kuwapiga mabomu wananchi kwa kutumia polisi.

2. CHADEMA kutumia mabavu kuliongoza BUNGE ambapo kisheria ilibidi bunge liongozwe na CCM yenye wabunge wengi, speaker,naibu speaker na wenyeviti wa bunge kutoka CCM.

Hii inajidhihirisha pale ambapo CHADEMA wamekua kimbelembele kutetea maslahi ya wananchi wakati hii kazi ilibidi ifanywe na CCM yenye wabunge wengi+serikali. Huu ni uporaji wa haki ya msingi unaofanywa na chadema kwa wabunge wa ccm.

3. CHADEMA kwa makusudi kabisa imekua ikiwachonganisha wananchi na serikali yao tukufu ya CCM.
Kitendo cha chadema kufichua maovu ya CCM na kuyaweka wazi kwa wananchi ni uchonganishi mkubwa na unawafanya wananchi kutoipenda serikali yao "halali" iliyopo madarakani.
Mfano mzuri ni list of shame, KAGODA, MEREMETA, DEEP
GREEN e.t.c

4. Kitendo kiovu kinachofanywa na CHADEMA kuilazimisha CCM kuacha sera zake na kutekeleza sera mbaya za CHADEMA ni kitendo ambacho hakivumiliki na kinafaa kupingwa na wananchi wote. Wanancchi tumekiamini chama chetu tukufu ccm na tukakipa "kula" za kutosha ili kiingie madarakani na kutekeleza sera zake ilizokua inazinadi majukwaani. Matokeo yake CHADEMA imefanya hila na michezo michafu ya kisiasa na kuilazimisha CCM kutekeleza sera za CHADEMA.

5. CHADEMA imeiweka nchi rehani kwa kulazimisha USALAMA WA TAIFA kuripoti kwake badala ya kuripoti kwa serikali tukufu ya CCM.
Huu ni uhaini na wapenda haki wote inabidi tupaze sauti kukemea hili suala.
Haiwezekani wanausalama watiifu wafanye mauaji yanayofuata sheria halafu wale wanausalama wasiofuata maadili wakapeleka taarifa chadema. Hii sio sawa kabisa, kunaiweka nchi yetu kwenye hatari kubwa sana.

Naomba niishie hapa ila natoa rai kwa watu wote wenye uzalendo na nchi hii kuipiga vita CHADEMA kwa nguvu zote.

Au mi ndo sioni vizuri nini? huyu ni SHONZA JULIANA?

Any way, naashum kuwa ni yeye, basi hapo CCM hamna mtu hapo, kimwili yupo CCM na kiroho yupo CHADEMA.

Napata shida kuamini kuwa huyu ni shonzaaa au photocopy? kwa sababu amedhihirisha kuwa yeye ni chadema damu damu,
 
Acha kujikosha hakuna mtu ana shida na mamuluki, mzandiki na panya kama wewe, baki huko huko kwenye ukoo wenu wa panya !

oya, tafazali sana achana na panya. ni kweli sisi wanyiha tunakula panya lakini kutuita panya koma. tena ukome kabsaa.... we kwenu mnakula mbuzi ushakuwa mbuzi wewe? nani anatoka ukoo wa panya? tutaendelea kula panya, and there is nothing you are going to do about it!
 
Back
Top Bottom