Habari zenu. Hongereni wale mliofaulu ...nina vitu muhimu vya kushiriki na nyie siku ya leo hasa kwa kwenye uchaguzi wa kozi vyuoni.
1. Jitahidi kupata taarifa sahihi za kozi unayo/unazotaka kuomba kwa kadiri ya uwezo wako..
2. Usipende kufuata mkumbo; kumbuka hii ni hatua muhimu sana kufikia...
WAHANDISI NA FUNDI MCHUNDO KAZI KWENU CHANGAMIKIENI HIZO
TANZANIA PETROLEUM DEVELOPMENT CORPORATION
CAREER OPPORTUNITIES
Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) is a National Oil Company dealing with oil and gas exploration, development and production. The company is based in...
Kufuatia usaili (Oral Interview) uliofanyika kati ya tarehe 03/02/2014 14/03/2014 TAKUKURU Makao Makuu kwa watahiniwa walioomba nafasi za Afisa Uchunguzi daraja la pili na wachunguzi Wasaidizi, yafuatayo ni matokeo ya usaili huo:
Investigation Officers
Assistant Investigations...
Mark Zuckerberg
I'm excited to announce that we've agreed to acquire Oculus VR, the leader in virtual reality technology.
Our mission is to make the world more open and connected. For the past few years, this has mostly meant building mobile apps that help you share with the people you care...
The Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) is focusing on increasing the outreach and service quality of its Energy products for Tanzania people. Next to its current passion as a leading provider of electricity and to be more efficient customer focused utility for Tanzania and beyond. The...
Principal Estate Development Engineer Open Position: Principal Estate Development Engineer
Reporting Office: Head Office.
Reports To: Manager Estate - Projects
Start Date...
INTERNAL & EXTERNAL ADVERTISEMENT EMPLOYMENT OPPORTUNITIES
INTERNAL& EXTERNAL ADVERTISEMENT
Background – TANESCO http://www.tanesco.co.tz
The Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) has recently been...
BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA
UFAFANUZI WA MASWALI MBALIMBALI YA WADAU WA ELIMU KUHUSU MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2013
Imetolewa Na:KAIMU KATIBU MTENDAJI25 Februari, 2014
UFAFANUZI...
Wadau kwa yeyote mwenye ufahamu anaweza kusaidia hili ni wazi kampeni za uchaguzi mdogo zimeanza huko kalenga na tamati yake 15.3.2014 ambapo 16.03.2014 utafanyika uchaguzi wenyewe ..
sasa swali langu ni je mbunge atakaye chaguliwa atakuwa na haki kisheria kuhudhuria bunge la katiba..?
kama...
KAZI HIZO KAZI KWENU
EMPLOYMENT OPPORTUNITIES INTERNAL & EXTERNAL ADVERTISEMENT
1.0 Open Position: Human Resources Officer - Trainee (5 Posts)
Reporting Office: Head Office, Regions & Plant
Reports To...
wadau nimeona ni share na nyie hii kitu yawezekana wengine huwa mnapractise hizi njia .. nakutokana na ongezeko la bei ya umeme.. kuna tips hizi naona zinaweza kuwa msaada kwetu..zipo nyingi tu ..inategemea na vifaa na aina ya wiring system nyumbani kwako
a) Refrigerator, Freezer and...
Wadau mimi naona sasa kuna umuhimu mkubwa sana sasa kuwe na somo hili, kama ilivyo somo la development studies sababu kubwa sana tulio wengi tunatoka shule tunakuwa na uelewa mdogo wa sheria za ajira na mikataba ya kazi nafahamu watu wa HR NA LAW(RASIMALI WATU NA SHERIA) watakuwa wanasoma hili...
TATIZO LA UMEME NI TANESCO AU SERIKALI YA CCM..?
Wasalaamu .
Najaribu kutafakari sana hapa je tatizo ni hili la UMEME(kichocheo cha uchumi ) ni hawa TANESCO au Hii Serikali ya CCM ?
Nianze na hawa Tanesco matatizo ambayo naweza sema ni ya kwao moja kwa moja na yako ndani ya...
habari .zenu
kwa yeyote mwenye kufahamu ratiba ya zoezi la kupiga picha za vitambulisho vya taifa NIDA kwa manispaa ya kinondoni anaweza nisaidia ..
ni jumamosi na jumapili..?
na mtiririko wake ukoje wanaanza na kata gani..?
natanguliza shukrani..
Kwanza hongereni kwa mliochaguliwa kuendelea na ELIMU ya juu kwa ya maana vyuo na taasisi za elimu ya juu na poleni sana wale mliokosa MKOPO ..(kwa hili nawapa pole ya dhati sababu nafahamu maisha ya CHUO bila huu mkopo hasa wale mnaotoaka familia za chini kama mimi)...
jambo kubwa linaloniudhi...
MAKALA: ELECTRICAL TIPS
Habari wanajukwa kwa kipindi kirefu nimekuwa na nia ya kushare na na nyie kile nachokifahamu kuhus fani yangu ya UMEME .. ambacho kwa namna moja au nyingine kinaweza kuwa na msaada mkubwa au kiasi nimeona kuwa nitakuwa na mfululizo wa masomo/makala za maada mbali za...
MAKALA: ELECTRICAL TIPS
Habari wanajukwa kwa kipindi kirefu nimekuwa na nia ya kushare na na nyie kile nachokifahamu kuhus fani yangu ya UMEME .. ambacho kwa namna moja au nyingine kinaweza kuwa na msaada mkubwa au kiasi nimeona kuwa nitakuwa na mfululizo wa masomo/makala za maada mbali za...
Salamu ndugu mimi ni electrical engineer ni mwaajiriwa kituo ni dar .. nachukua nafasi hii kwa yeyote yule mwenye uwezo wa kushare na mimi hasa muda wangu wikiend na masaa baada ya kazi nina weza fanya kazi (Part time job electrical engineer ) pia naweza kuwa assigned kazi via mail or...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.