Maganga Mkweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2009
- 2,089
- 829
Kwanza hongereni kwa mliochaguliwa kuendelea na ELIMU ya juu kwa ya maana vyuo na taasisi za elimu ya juu na poleni sana wale mliokosa MKOPO ..(kwa hili nawapa pole ya dhati sababu nafahamu maisha ya CHUO bila huu mkopo hasa wale mnaotoaka familia za chini kama mimi)...
jambo kubwa linaloniudhi sana na ambalo linaonyesha hatari kubwa sana ya WASOMI ambao ndio nguzo kubwa kwa maana ya DIRA ya nchi yeyote maana MAENDELEO bila ELIMU ni NDOTO tena ya mchana... hivyo basi ni wajibu wetu sisi kama wasomi naamini wote mliongia VYUONI mnatakiwa kufahamu MSOMI maana yake nini na kwanini uko hapo.. hili ndio jambo muhimu sana ambalo kama ujalitafakari wewe mwanachuo lizingatie sana naa anza kulizingatia na kulitafakri..
HII ISSUE YA USHINDANI WA CHUO INA MANTIKI GANI..? (kwenye hili jukwa la ELIMU...)
kama wewe ni msomi wa CHUO A unajisifu unasoma chuo bora kuliko yule wa CHUO B wakati tija yako kwenye taifa hakuna pamoja na kusoma hicho chuo nakubali kuna UBORA wa vyuo kutokana vigezo vingi tu... ila nasisitiza na kukerwa na tambo sisizo na msingi ambazo azijengi za kujitapata chuo au kozi uliochagaliwa.. MUHIMU sisi kama wasomi ni kujitambua kutambua mapungufu yaliyopo kwenye VYUO vyetu kupambana walau kujikomboa kwa KIFIKRA...
WITO WANGU KWENU tuache huu ujivuni usio na mantiki yeyote tubadilishane mawazo tuokoe nchi yetu.. .
"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa" ...Hosea 4:6
jambo kubwa linaloniudhi sana na ambalo linaonyesha hatari kubwa sana ya WASOMI ambao ndio nguzo kubwa kwa maana ya DIRA ya nchi yeyote maana MAENDELEO bila ELIMU ni NDOTO tena ya mchana... hivyo basi ni wajibu wetu sisi kama wasomi naamini wote mliongia VYUONI mnatakiwa kufahamu MSOMI maana yake nini na kwanini uko hapo.. hili ndio jambo muhimu sana ambalo kama ujalitafakari wewe mwanachuo lizingatie sana naa anza kulizingatia na kulitafakri..
HII ISSUE YA USHINDANI WA CHUO INA MANTIKI GANI..? (kwenye hili jukwa la ELIMU...)
kama wewe ni msomi wa CHUO A unajisifu unasoma chuo bora kuliko yule wa CHUO B wakati tija yako kwenye taifa hakuna pamoja na kusoma hicho chuo nakubali kuna UBORA wa vyuo kutokana vigezo vingi tu... ila nasisitiza na kukerwa na tambo sisizo na msingi ambazo azijengi za kujitapata chuo au kozi uliochagaliwa.. MUHIMU sisi kama wasomi ni kujitambua kutambua mapungufu yaliyopo kwenye VYUO vyetu kupambana walau kujikomboa kwa KIFIKRA...
WITO WANGU KWENU tuache huu ujivuni usio na mantiki yeyote tubadilishane mawazo tuokoe nchi yetu.. .
"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa" ...Hosea 4:6