Habari wasaka ajira! Kuna tetesi ambao hazijathibishwa rasmi kuhusu kuitwa kwenye usahili wa mahojiano TRA!? Je ni kweli!? Tetesi zifuatazo bado hazijazibitishwa.
1. Kuwa wameita oral interview wale wa intern tu waliokuwa wanajitolea TRA.
2. Na Wameshachukua barua tayari kwa ajili ya...
Ni mda mrefu tangu kufanyika usahili wa mahojiano TPA. Kupitia UTUMISHI. Lakini leo kuna mtu katoa taarifa ya kupigiwa simu. Kuripoti kazini wakati tuliambiwa majina yatatoka kwenye website. Swala la kumpiga simu linaleta upendeleo.. Mbona majina ya written Mlitoa? Mnashindwa nini kutoa majina...
Habari wanajamvi nilikuwa napenda kufanya biashara ya vyuma chakavu je ni makampuni gani yananunua,vipi kuhusu bei kwa tani ya vyuma chakavu na ni mtaji kiasi gani unaitajika? Na ni changamoto gani zinazojitokeza kwenye biashara hii?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.