Mkufunzi toka Chuo Kikuu cha Mkwawa (MUCE) anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma ya kumtukana Rais Magufuli katika mtandao wa WhatsApp.
Kamanda wa Polisi Julius Mjengi amethibitisha kukamatwa kwa mhadhiri huyo mwenye miaka 48
=========
A lecturer with Mkwawa University College of...
yahoo yasema imedukuliwa na wadukuzi na wameiba information za watu zaidi ya milioni 500...
Yahoo says hackers stole information from about 500 million users in 2014 in what appears to be the largest publicly disclosed cyber-breach in history.
The breach included swathes of personal...
bodi ya mikopo hivi inakuwaje kwa mtu ambaye amesha apply mkopo kabla ya kuona vigezo vipya vya TCU kwamba lazima uwe na upper second (kuanzia GPA ya 3.5) kwa wale waliomaliza DIPLOMA
kwa mtazamo wangu ni vizuri wangewarudishia tuu pesa zao kwa maana hilo litakuwa ni jipu la miaka ijayo...
wakuu naombeni mnisaidie hivi kwa anaaenufaika na mkopo kutoka kwa bodi ya mikopo akirudia mwaka wa masomo (mfano mtu anaaetakiwa kuendelea na mwaka wa pili anarudia kusoma tena mwaka wa kwanza).Je huwa anasitishiwa mkopo?kama ataendelea kupata mkopo je atatakiwa kupeleka taarifa yoyote bodi ya...
ata hitilafu
kivuko cha mv kigamboni kimepata
hitilafu...mafundi wanaendelea na matengenezo
ila abiria ni wengi sana na kwa sasa ni mv
kigamboni ndo kinavusha abiria...
kivuko cha mv kigamboni kimepata hitilafu...mafundi wanaendelea na matengenezo ila abiria ni wengi sana na kwa sasa ni mv kigamboni ndo kinavusha abiria...
jama nashindwa nifanye nini kwasababu nimeshachukua admission letter na wanahitaji tulipe asilimia 60 ya ada ambayo ni 1million na laki moja ivi..kiukweli familia yangu haimudi kunilipia hiyo pesa na mwisho wa kufanya usajili ni tarehe 6 oct,nategemea bodi ya mikopo bodi yenyewe wanasema mkopo...
wakuu naombeni msaada,kama kichwa cha habari kinavyojieleza..kuna jamaa angu kakosa chuo je anaeza kuapply tena?nimeingia kwny site ya tcu nimeona slot ya registration ipo on...je afanye nin huyu ndugu yangu?:target:
Congratulation from IFM.
You have been selected to join IFM for your Bachelor degree course. Registration will start on 16th September 2013 for privately sponsored students. For HESLB sponsored students Registration will open from 15th October 2013. For more information visit Home - The...
Congratulation from IFM.
You have been selected to join IFM for your Bachelor degree course. Registration will start on 16th September 2013 for privately sponsored students. For HESLB sponsored students Registration will open from 15th October 2013. For more information visit Home - The...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.