Tumetoka mbali. Kutoka ufisadi wa kutisha mpaka hapa tulipo japo ni baby steps lakini tukiendelea hivi japo kuna matumaini. Mwanzo daima ni mgumu ati!
Watu wameua mashirika makusudi na kujitajirisha bila aibu. Aaaargh!!!
Mkuu hebu tumegee kidogo walikuwa kina nani hao. Wengine labda hatukuwepo kabisa hata dunianiWewe unafikiri hiyo ya 1980 ilikuwa ndege kweli? Kuna watu wanafikiri ufisadi ni jambo jipya. Ulizia hawa walikuwa ni akina nani: Lawrence Mmasi, Augustine Mwingira, George Hallack
Tupe vitu mkuu nini kilotokeaWewe unafikiri hiyo ya 1980 ilikuwa ndege kweli? Kuna watu wanafikiri ufisadi ni jambo jipya. Ulizia hawa walikuwa ni akina nani: Lawrence Mmasi, Augustine Mwingira, George Hallack
Watasema sio kweli ni editing za adobe photoshoptazama hii picha kwa makini....
Tufahamishe mkuu ni kina nani hao?Wewe unafikiri hiyo ya 1980 ilikuwa ndege kweli? Kuna watu wanafikiri ufisadi ni jambo jipya. Ulizia hawa walikuwa ni akina nani: Lawrence Mmasi, Augustine Mwingira, George Hallack
FuatiliaKiwanda gani Mwinyi alijimilikisha?