Wadau, chukueni tahadhari kuhsu hizi namba ambazo kuna watu wanajiita wadau wa Kilimo kwanza wanafanya biashara ya spea za matrekta ya kilimo kwanza. walinipigia simu kwa kubadilisha sauti na kujifanya kuna muuzaji na wanunuzi na mwisho wanakwambia utume fedha ya usafiri sh. 400,00/= Namba hizo...
Hivi haya mabango ya waganga wa kienyeji kwenye nguzo za umeme na simu ynalipiwa kodi kwenye halmashauri/manispaa husika? Yamezidi na yanachafua miji. Hakuna sheria kudhibiti hii hali?
Jamni hivi jukumu la msingi la maafisa watendaji wa serikali ni kugawa Sukari? Imenishangaza kuona ofisi za kata ndiyo zinauza sukari? Naomba kuelimishwa kwa hili jamani. I stand to be correctedif need arises
Watu wengi wakienda kwao Rombo, same, Mwanga hata Hai utawasikia wanasema tunaenda MOSHI. Mbona hizo ni Wilaya tofauti na Moshi?
Jamani nisaidieni kwa hili.
Nawasilisha
Hello great thinkers
Nategemea kufanya research on PMU(procurement management unit) compliance in public organisations. Naomba ambaye ameshafanya nione kitu related na hiki anipe paper yake nione. Au mwenye nondo anisaidie plz.
Thanks in adavance
Hivi JF ina Rasi wake? maana nimekuwa nikisikia marasi kibasi kibao Tz. Mfano, Rasi wa jamhuri ya muungano wa Tz, raisi wa TFF, Raisi wa BUT, Raisi wa wasafi, rais wa masharobaro,Rasi wa Manzese , raisi wa watangazaji nk.
Hello Great thnkers?
Nimekuwa nikijiuliza tabia ya mabasi yakifika kwenye MIZANI wanawaambia abiria washuke mpaka gari lipite na kurudi tena, au kusogea mbele gari ipite kwenye mizani kwanza. Je tanroads hawajui huu mchezo?
Nimewasilisha swali ninalojiuliza kila siku nikipita, Mingoyo,Njia panda...
Hello Members!
Naomba kama kuna anayejua kodi zote zinazolipiwa magari yanayokuwa imported. Nataka nijue ili niweze kuweka budget SAWA nisije kuagiza ka NISSAN MARCH alafu ushuru na kodi nyingine zikajakunishinda nikashindwa kukomboa.THanks
Hello colleagues!
Mimi ni mwanafunzi ninatakiwa kufnya research na nimeambia nitumie SOFTWARE iitwayo SPSS kwa ajili ya analysis. Je hii software inapatikana wapi? Asanteni
Hello Great Thinker!
I found this site useful and think will be better to share with you. Go to this site www.4shared.com and enter the name or title of the book you are looking for at the search area the enter. the list will come up and download it. Wishing you all the best.
Hello members! Tafadhali naomba kama kuna mtu ana uzoefu na OS ya UBUNTU. Je ni compatible na other MS applications? Nimesikia hii OS haiingizi VIRUS. Naomba elimu kwenye hili plz
Hello Great THINKERS!! Nimeangaliaa kwenye TV jinsi KOVA anavyoliongelea swala la Jerry Muro nikapata shida sana na Inteligence ya huyu kamanda. Nani anajua CV yake academically?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.