Hivi haya mabango ya waganga wa kienyeji kwenye nguzo za umeme na simu ynalipiwa kodi kwenye halmashauri/manispaa husika? Yamezidi na yanachafua miji. Hakuna sheria kudhibiti hii hali?
tena wengi wanajitangaza wametoka nigeria. Ina maana wamepata vibali uhamiaji? Tz kweli jalala!
Yaani wamezagaa kila kona hasa Dar es salaam, Arusha na Mbeya ndiyo nimeona kwa wingi. Uhamiaji nao wamekaa kimyaaaaaaa!!!