Kosa kubwa sana unalofanya ni kutumia muda mwingi kujihukumu. Kujiona mkosaji, kujiona maskini, kujiona hufai, kujiona umekosea lakini unasahau kitu kimoja. BADO unaweza kubadilisha hiyo ali kwa kuchukua hatua yenye tija zaidi hata kama ni ya maumivu.
Tafuta eneo lingine la biashara uhame...
Africa ndo maana tunakufa maskini. Yaani uwekeze 200m upate faida ya 1.5m kwa mwezi. Ugoro wawapi huu? 200m ukiwekeza biashara ya maana unavuta hadi m20 kwa mwezi.
1. Tafuta Pesa sana. Ukizipata nyingi tatizo litapungua kwa kiwango kikubwa.
2. Tatizo lako ni chagizo kubwa sana la hisia kuliko tatizo lenyewe. Ungekuwa mkoa mmoja namimi tungekaa karibunkama.marafiki for 2months ungeshangaa. Unahitaji kujengewa uwezo wa kujiamini zaidi thus why nimesema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.