Lowasa lowasa lowasa lowasa.. yaani kila uchwao hapa ni lowasa that, lowasa this. Mnatuchosha kama ni mchafu au hana afya tumuache jamani , kama amepangwa kuwa amiri jeshi mkuu atakuwa tuu no matter what, kama hajapangwa hata abebe matofali contena zima au alime mpunga hapa mpk kwa Zuma hatakuwa...
Kila nikilitafakari suala la aliyekuwa Mbunge nguli kijana toka Kigoma naishia kukumbuka kile kisa cha kiimani cha ibilisi kutupwa toka mbinguni mpk kuzimu. Ibili huyo aliyejulikana kama Lucifer hapo kabla alikuwa ni kiongozi mashuhuri ktk jeshi la kumlaki Mungu kule Mbinguni, alikuwa ni hodari...
Mimi ni mkristo ila nasikitika sana kuwa kuna mkristo kama wewe hapa duniani, inawezekana umeandika hivyo kwa kusudio maalumu, ushindwe kama shetani alivyoshindwa kumjaribu Mkombozi Wetu..!!
Tusaidie kuelewa ndugu yetu usitutukane, biashara inaathirika vipi hapo? Otherwise kwa lugha yako tunaweza kuconclude kuwa wewe ni mke au mchepuko wa mleta uzi.
Kaka marehemu alikuwa ndugu yako nini?, lakini nafikiri ungelisaidia jeshi la polisi ktk hili. Tukiachana na hilo mleta mada hakutafakari kwa mapana, maana ya kussuport investment ni pamoja hata kutembelea investments hizo, sheria ya Fair Competition Act ya mwaka 2004 haimzui kiongozi...
Mbona Obama alipigwa picha akiangalia maeneo ya nyuma ya bibie mmoja... msimlaumu membe .. hapo wasira kazingua mwenyewe, mkutano Mkubwa kama huo eti mtu uje ugundue hukuvaa vizuri baada ya picha kupigwa.. tusimtafute mchawi tuangalie wapi Jamaa kajikwaa ajirekebishe.
Sijawahi kushuhudia utafiti ambao haukuwahi kupingwa. Kupingwa kwa utafiti haina maana wakati wote kuwa utafiti huo sio sahihi, lakini ni ishara tosha ya kutokusadifu matakwa ya upande fulani, iwe tafiti ni za kweli au si kweli, suala la kupingwa huwa palepale. Hata matokeo ya urais hupingwa...
Kweli Taifa linaangapia, na hii ndio picha kamili. Ukiona vijana wanaguts za kuwatukana wazee, basi ujue nchi imeyumba, imeishiwa staha, hekma, heshima na busara. Ni hatari mno..
Kwani utambilisho wa Chadema kwa sasa ni upi?.. Kitendo cha kuungana na vyama ilivyokuwa ikivipinga hapo awali huoni kama ni alama tosha ya kifo cha CDM kama ilivyotabiriwa na Ngumi nzito Wassira.. what is your identity now as a party other than UKAWA.?
Kufuatia kitendo cha vyama vya upinzani chini ya mwamvuli wa UKAWA kuungana na kushirikiana pamoja na kutuhumiana huko nyuma kwa mf Mh Mbatia kutuhumiwa kutumika baada ya kuteuliwa na Rais kuwa mbunge wa viti maalum, Leo hii wanakula meza moja basi ni wakati wa Membe, Sitta, Mwakyembe, Magufuli...
Amesoma St. Marys International schools kuanzia 2003- 2006 baada ya hapo alikwenda kusoma India chuo. Si kweli kuwa ameishia standard 6.. acha upotoshaji, wengine ni classmates wake humu na huwezi kumuhukumu mtu kwa historia yake tuu.. ni raia halali na ana haki zote kuwa kiongozi pia kama...
Dhana ya ubaguzi inakuja baada ya kaangalia namna askari huyo alivyo act na kosa lilofanyika. Angemkamata tuu kwa Njia ambayo iko reasonable hoja ya ubaguzi isingekuwa na mashiko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.