JF sio sehemu ya kupata kura sahihi ya maoni, sbb ni ya UKAWA....jua hilo...!!!
To hate what you can not defeat is absolute foolishness.
Go to hell u bitch
Mzee wa mabusha ni mzinifu mkuu kawa rais sembuse Dr wetu mpendwa?
Tuambie maoni yako kwa mzinifu kuwa wa pili?
Utafiti wa Urais uliochapishwa na gazeti la Rai linalomilikiwa na Rostam Azizi unaoonesha Lowassa anaongoza kwa 52% akifuatiwa na Dr Slaa na January Makamba umetajwa kuwa ni kiinimacho na hadaa kwa watanzania, imebainika.
Utafiti huu uliokataliwa na wahariri wa magazeti karibu yote kuandikwa inasemekana inayokana mapungufu yafuatayo ambayo hayakupata majibu kutoka kwa waandaaji :-
1.Umeandaliwa na vijana was Lowassa wanaofanya kazi mtandaoni.
2.Kura ilikua haina ukomo, unaweza kupiga mara nyingi uwezavyo
3.Vijana wa Lowassa waliandaliwa utaratibu wa kupiga kura usiku na mchana ili tu mgombea wao aongoze kwa mbali sana.
4.Admin au muendeshaji wa kura hiyo alikua na mamlaka ya kuingia na kutazama na hata kudhibiti nani aendelee kuongoza na nani afuatie.
5.Dr Slaa ametengenezwa aonekane anafuatia nyuma ya Lowassa ili ionekane kuwa CCM isipomsimamisha Lowassa basi wapinzani watachukua nchi.
Baada ya waandishi na wahariri wote kukataa kuchapisha Utafiti huo wa hovyo wakihoji nani kauandaa na ulipimwa kwa vigezo gani vya kisayansi, ni gazeti la Rai pekee linalomilikiwa na Rostam Azizi, rafiki mkubwa wa Lowassa ndilo pekee limechapisha habari hiyo.
Lowassa ajajitekenya na kucheka mwenyewe.
Nitaendelea kumpinga mpaka atakapopotea kwenye ulimwengu wa siasa Tanzania. Katuumiza sana Watanzania
shukuru alizini na mama yako ikatokea weweTuambie maoni yako kwa mzinifu kuwa wa pili?
utafiti uliochapishwa kwenye gazeti LA RAI la leo unaonyesha mh. Edward Lowassa anaongoza akifuatiwa na Dk. Slaa.
Kama ni Ikulu ya hapa Tz, naamini kuwa ni EL mpangaji wetu mpya. Kwa nini? Pesa aliochukua kwa Richmond peke yake, ana uwezo wa kumlipa kila Mtz shs 3.000.000/= kwa malipo tulio mlipa kwa siku moja tu. Alilipwa siku 180. Je akitaka kuingia ikulu kwa kuwapa malipo ya siku mbili kila mtanzania ana hasara gani??
Kama tuliambiwa tutakula nyasi, akisema sasa njooni mchukue vijisenti hivyo si kila mtu atampa kura?? Msinipige mawe jamani, nawaza tuu wala mi si team yake huyo fijisadi. Mola epusha mzigo huu usiiangukie nchi yangu Tanganyika, naipenda mpaka naiota lakini hao wenye meno wanaitafunaaaaa
Tuambie maoni yako kwa mzinifu kuwa wa pili?